Recent content by form1

  1. form1

    Urusi waonesha ubabe wa kijeshi ili kuwadhibiti NATO

    NATO,USA na RUSIA ni dugu 1 na wana lengo 1 wanatuigizia tu kutupumbaza. Kumbuka uhalisia si halisi mkuu. form1
  2. form1

    JF Hip-hop frestyle battle

    Ka mkubwa hujui rap acha nikupe sample/ Unatupa maneno kama unakaa dampo/ Napiga mbishe nyingi sina habari ya madem/ Na kama unataka mpunga just speak my name/ Underground legendary sina umaarufu kwa game/ Tukutane cemetary kwa jina la marehem/ Sometimes kelele nyingi hudhihirisha upunguani/...
  3. form1

    JF Hip-hop frestyle battle

    Back again form1 kwenye ubora/ Ukileta mdundo bunduki nashusha verse kombora/ Kichwa race kama mkuki ndukinduki za dondora/ wanasema nachapa sana kwavile ndani ya boxer nna bakora/ form1
  4. form1

    Nina laki 3 niuzie simu fasta

    Nina laki2 ipo mfuko wa shati nipeni simu chap
  5. form1

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mrima ndo wapi mkuu? Maana me ni mwenyeji wa zamani maeneo haya. form1
  6. form1

    Nina laki 3 niuzie simu fasta

    Njoo nikupe xperia z3 inaneremeta
  7. form1

    Members wa JF bwana!!!!

    Haha wazee wa mshauzi nawaangaliaga tu maandishi yao halafu napita kushoto,form1 hapa nawakilisha njuka wenzangu duniani kote. form1
  8. form1

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Mkuu ni hivi lot size ni kama kipimo ambacho hutumika kukujulisha ni uwingi kiasi gani wa pesa unauza au unanua sokoni kwakua kule sokoni huwezi uziwa dola 1 au pound 1 and so on Mfano ukienda sokoni kununua dagaa huwezi kuuziwa dagaa mmoja utauziwa kwa fungu au kilo kulingana na uwezo wako...
  9. form1

    Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

    Mkuu usibishe usivovijua na usiamini sana wikipedia maana mtu yoyote anaweza kuedit. Kwakifupi ni hivi mimi babu yangu alinihadithia alipokua anauza duka la muhindi k.koo sikumbuki miaka ya 60 au 70 bakhresa alikua fundi viatu fremu/duka linalofuatia. form1
  10. form1

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Me nimeshika msemo mmoja wa instructor riya anasema kua "kuanzia sasa weekend zenu hazitakua tena bored maana mtakua mna pesa za kutumia kwenye hizo weekend coz stress mara nyingi huja kwa kukosekana pesa" May Almighty bless you TMT. form1 Sent using Jamii Forums mobile app
  11. form1

    Friendly Match:Simba SC Vs Hard Rock ya Zanzibar

    Hiyo hard rock ilikua very disorganised walitoka zenj hawajatimia wakaja huku home kuongezea wachezaji(nna ushahidi) kwahiyo hao simba walicheza na timu ya kuokotana okotana tu. form1 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. form1

    Kombinesheni ipi ya wachezaji unaikubali katika soka?

    Tevez na rooney-Man Kadabra na cavani-psg Beckham na van mabao-Man u Edgar devis na seadorf-hollands form1 Sent using Jamii Forums mobile app
  13. form1

    Tuliosoma shule za Vipaji Maalum tukutane hapa...

    Ndo ilikua njia yangu ile maana nkipita pale nlikua najiona kama celeb flani juu ya redcarpet nkitazama kulia skirt kushoto skirt basi hapo nadunda kama nimemeza kitenesi form1
  14. form1

    Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

    Hehehe na hao masela wako wangekua ndo wanamuamkia huyo manzi basi usingeshindwa kumuamkia ukaitikia mwenyewe and i bet ulikua umekaa pale kwenye mapultable mengi mashine3 form1
Back
Top Bottom