Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
salaale
Anhaa...on it.Haujatoa marks.
Dogo umekukuruka naona umerudi tena,Back again form1 kwenye ubora/
Ukileta mdundo bunduki nashusha verse kombora/
Kichwa race kama mkuki ndukinduki za dondora/
wanasema nachapa sana kwavile ndani ya boxer nna bakora/
form1
Ka mkubwa hujui rap acha nikupe sample/Dogo umekukuruka naona umerudi tena,
Master nimekita mizizi kwa mistari ninayotema,
Utoto na komedi nyingi za kusifia bakora,
What man hiyo ndo italipa bills? Castr I hustle hard nawazia a mansion on a hill,
Amka toka kwenye ujinga uliojaza kichwa,
Jitahidi make money umarioo unakondesha,
Basha uko form1 subiri bakora ya mkubwa wako,Ka mkubwa hujui rap acha nikupe sample/
Unatupa maneno kama unakaa dampo/
Napiga mbishe nyingi sina habari ya madem/
Na kama unataka mpunga just speak my name/
Underground legendary sina umaarufu kwa game/
Tukutane cemetary kwa jina la marehem/
Sometimes kelele nyingi hudhihirisha upunguani/
Kukaa kimya ni bora ufiche ujinga uliokichwani/
Najua moyoni unajuta kuuvagaa mziki huu/
Coz hili gheto la mabasha na ushatimba sister du/
form1
Mwana umeniquote notification mwendo wa kinyonga,
Nimechelewa kufika boy nimekukuta unabonga,
Chimbo unachimba nini mistari makinikia,
Mpaka uundiwe tume ndiyo wana tutakusikia,
Punch zako feki weupe wa Ray ukasome,
Nakuchapa na mistari tata mpaka kuniquote ukome
Spit shit mistari shombo dogo umeingia kingi,Naspit Og...
kama color ya mmasai..../
Wajinga ndio mdata...
nikivaa suti en tai..../
Siku hizi mpaka feki...
ndo mnadai mko really..../
Mc nyalinyali....
yani kama mtoto pili.../
Unachapa kwa mistari...
nakuchapa kwa bazoka..../
Kufika hizi levo....
Castr boy ndo unaoota.../
Nakuingiza chaka....
wananiita Dokta Shika..../
Hili jukwaa halikufai....
kashiriki super nyota..../
@Nifico.
Isome hii mistari yenye hadhi ya utatu/I wish,I could be IGP, ni msemo Wa Magufuli.
Ma MC mko wapi, mbona siioni mistari.
Mistari yenyewe makapi, na mingine si kiswahili.
Leteni mistari iliyotukuka, na inayoelezea uwazi.
Msiwe kama dokta Shika, mia tisa itapendeza zaidi.
Mnatakiwa kuserereka, ili mtupe burudani.
Ndio kwanza mnaweweseka, kama mpo usingizini.
Binafsi sijaridhika, naomba mtupe madini.