Recent content by Fogolina

  1. Fogolina

    Nadhani hiki ndicho kinampeleka Tunda polisi central

    Sasa zile ni nini? Zile ni bangi acha ushabiki.
  2. Fogolina

    Nadhani hiki ndicho kinampeleka Tunda polisi central

    Majani ya Chai y Majani ya chai gani yapo hivyo, hayana hata lebo kuonyesha yanatoka kiwanda gani, na pia ni vyake kwa kuwa amepost kwenye akaunti yake. Mtu huwezi kupost kitu kama hicho halafu ukakana siyo mtumiaji.
  3. Fogolina

    Nitamsaidiaje Anna?

    Mkuu, Jina Anna siyo halisi la muhusika.
  4. Fogolina

    Nataka kuwa Baharia

    Ha ha ha ha, umenifurahisha sana.
  5. Fogolina

    Wanawake: Acha moyo wako uongee

    Maelezo yako yamenigusa.
  6. Fogolina

    Wadada taratibu jamani, kama ni biashara mseme kabisa

    Kwamba Kuonga onga hakufai, Jiimarisha kwanza kwa kumiliki Assets kama viwanja badala ya kuwekeza kwenye K.
  7. Fogolina

    UDSM tupunguzeni masifa sasa

    Nahisi kama sijakuelewa hivi, Kutoka na mada husika na ulichopost.
  8. Fogolina

    UDSM tupunguzeni masifa sasa

    Kariakoo. Over.
  9. Fogolina

    Hii mistari kwenye nyimbo za hiphop haileti maana

    Kweli, Hasa Niki II
  10. Fogolina

    Jamani msikatishe maisha yenu kisa mapenzi

    Kweli kabisa, Mapenzi pia ni sehemu ya Changamoto katika maisha ya binadamu wa leo.
Back
Top Bottom