Recent content by flyingcrane

  1. F

    Waziri Matiang'i amedhihirisha tunaweza vita dhidi ya ufisadi tukiwa na nia

    lazima na mimi nipige zangu za haraka...nani mjinga wengine waibe na yeye awe mnyonge tu yani kuwa raia mwema asiyevuna mazao yanapokuwa tayari?
  2. F

    Nyumba ya Maalim Self imezungukwa na wanajeshi, hakuna kutoka wala kuingia

    Inakuwa aje watanzania waibiwe haki yao ya msingi na wabaki kimya...inahuzunisha sana ila poleni jirani
  3. F

    Rais Kikwete afanya uteuzi katika Mahakama nchini

    Kweli nimeamini Afrika haitawahi kuwa salama..aliyefatilia chaguzi za kenya 2007 hataona tofauti na yanayotendeka TZ, raisi anatayarisha kushinda uchaguzi kupitia mahakamani ikiwa goli la mkono litatimia na team UKAWA kwenda mahakamani kupinga uchaguzi...amani kwanza waTZ sisi wakenya...
  4. F

    Ni kweli Kenya Umeme haukatiki hovyo?

    Mimi najua umeme haupotei kwa kijiji chetu na iwapo kutakuwa na marekebisho ya power lines basi hufanywa usiku wa manane ili usiharibu mipangilio ya biashara za watu mchana..mimi naona shida TZ ni kutowajibika kwa wizara ya nishati
  5. F

    CCM chama dume, kinakwenda kushinda kabisaaa

    Inamaana watanzania wataenda miaka kumi mingine ya kunyanyaswa,ufisadi na uongozi mbaya..nashangaa hiki chama mwakipendea nini.hiki chama hakina mapya wala mfumo badala wa kuukuza uchumi wenu. mukichagua CCM basi muisahau katiba mpya. jifunzeni kupitia mageuzi ya kenya yaliyoambatana na...
  6. F

    Mkenya ahusika kwenye shindano la Formula one

    Big up Kenyans..proud 2b Kenyan
  7. F

    Natafuta mume aliye serious

    Wanaume hawatafutwi kilazima..utapata shumileta
  8. F

    Tofauti kati ya Wakenya na Watanzania

    Hamna nchi inayoweza kustawi bila kushirikiana na nchi nyingine..tatizo lipo kwa watanzania wenyewe munapotia mikataba ya kibiashara pamoja na ufisadi..lalamikia serikali yako ya CCM nakufanya marekebisho oct 25,bila hivyo utaendelea kutuchukia wakenya na sisi tutabaki kupaa
  9. F

    Polisi wasipokuwa "makini" wataharibu amani ya nchi

    Heri umeona huu ukweli ila bado macho ya wengi wa watanzania wenzako wamepotoshwa kwa propaganda za dola kupitia kwa vyombo vya habari kufikia kiasi cha kuona kila kitu kipo shwari..CCM inawatumia divide and rule kwa watanzania ila watanzania wengi hawajielewi,hawajui haki zao na wale kidogo...
  10. F

    Tofauti kati ya Wakenya na Watanzania

    Ndio mana watz munatuchukia wakenya na kutyita nyang'au? Kweli sababu ipo
  11. F

    Ushauri: Mumewe ana maumbile makubwa, mkewe anaumia wakati wa tendo la ndoa

    Hatari hii jamani,,mwanamme ni kusukuma vieleweke ukipimiwa ushakuwa mfungwa
  12. F

    Amebadilika sana, nikimuuliza anasema yupo bize

    Kama ulikuwa ushampa mchezo akaucheza hadi matunda yakaanguka toka mtini basi jua ameshachoka nawewe,,,hivi sasa yupo na kitu kipya anakila polepole akichoka naye atampiga chini akurudie wewe..pia ww kaa kimya wala usijishulishe
  13. F

    Mzungu ainunua Shule ya Serikali

    Watanzania muko radhi kuliwa mali yenu na mzungu ila mkenya akisogelea mnapiga kelele kweli..sasa ni wapi duniani shule ya serikali ikauziwa mtu binafsi
  14. F

    Equity Bank Arusha imefilisika, BOT ingia kati mapema

    Zungusha bakuli kwa jirani uombe usaidizi wa kula wewe..ikiwa huna hela za matumizi acha kusingizia bank za watu..kisha ujue kuna cheki ambazo hutolewa baada ya muda fulani kutimia ndipo zitakubalika
  15. F

    Hatimaye ngoma sasa ni Lowassa vs Magufuli

    Hii game ya LOWASSA(CHADEMA) vs MAGUFULI(CCM) itakuwa contest of a century kama tu pacquao vs mayweather. lakini pesa na maarifa ndiyo yataongea baadaye siyo wananchi..hii game itakuwa kali na huenda CCM wakacheza rafu zaidi kukizuia kiti..hasa mambo haya ya BVR hayaaminiki kamwe
Back
Top Bottom