okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,739
Teh teh teh! kaoge
natafuta mume wa kunioa, awe mkristo
elimu:diploma na kuendelea
Kazi: awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
mwonekano: asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
sehemu: awe anaishi dar, moro, pwan, tanga, moshi &arusha
umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI:mkristo
Umri:25
kazi: muajiriwa serikalini
mkoa: tanga
muonekano: mwembamba maji ya kunde uref cm160
Note: waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM
natafuta mume wa kunioa, awe mkristo
elimu:diploma na kuendelea
Kazi: awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
mwonekano: asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
sehemu: awe anaishi dar, moro, pwan, tanga, moshi &arusha
umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI:mkristo
Umri:25
kazi: muajiriwa serikalini
mkoa: tanga
muonekano: mwembamba maji ya kunde uref cm160
Note: waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM
Natafuta mume wa kunioa, awe mkristo
Elimu: Diploma na kuendelea
Kazi: Awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
Mwonekano: Asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
Sehemu: Awe anaishi Dar, Moro, Pwani, Tanga, Moshi & Arusha
Umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI: Mkristo
Umri: 25
Kazi: Muajiriwa serikalini
Mkoa: Tanga
Muonekano: Mwembamba maji ya kunde urefu cm160
Note: Waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM
Bado hajapatikana, ukija kwenye pm jielezee wasifu wako wote, usiache namba tu, usipo jielezea kwa kirefu ukaacha namba tu ctakujibu, consider your self your disqualified.Karibuni
KIBAYA CHAJITEMBEZA...
Umedoda dada!.Hadi unakuja kutafuta wanaume humu?!.
Maana yake umetafuta kazini kwako,mtaani kwako UMESHINDWA.
In african cuture...dada hatafuti ila anatafutwa.Mwanaume raha yake ni pale anapomhangaikia mdada for months ndo ampate.....
Hata ukipata mwanaume toka humu atakuja akuchungulie tuu umetumika kiasi gani afu anasepa.
ACHA DHARAU.
Kuna walimu wa primary wana life bomba kuliko professor.Asiwe mfupi;wewe ulijiumba?.MBONA unaombwa kutongozwa/tongoza?.
NI SAA YA MABADILIKO,ACHA KUTONGOZA;ANDAA KIKATIO
vipi mkuu kuna kigezo hujatimiza ama nini?