morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
- Thread starter
- #21
Bora ataa kama ni teler wa hiyo bank .ungemshtua mkuu wako hapo makao makuu .atolee ufafanuzi kwa sababu ni wateja wote awajapata pesa siku ya 14 leo.mimi niko kwenye group ya watu 40 wenye cheque total worth 232 milioni .hii sio ishuu ya acount hii .Arusha ni branch Dar ndio head office ya TZ Equity Bank subsidiary. Kama mtaalamu wa masuala ya kibenki, branch haiwezi kufilisika, angalia vizuri labda account yako haina hela au ina tatizo lingine