MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,475
Utashi wao au kusombwa na maroli?
Yamesha pitwa Na wakati
Utashi wao au kusombwa na maroli?
Need I say more? A picture worth a thousand words!!
By the way, hakuna aliyenunuliwa hapo..wote wamekuja kwa utashiwao wenyewe!
Lowassa kama Yesu... anapendwa jamaniii..omg...!!!
UDA walitoa mabasi 50...unataka zaidi??
Kama unampenda kanywenae chai...na ataishia kuwa rais wa UKAWA
Lowassa kama Yesu... anapendwa jamaniii..omg...!!!
Huyo Lowassa si ni hivi majuzi tu aliapa kutoachana na CCM? Ni vipi tena? Yaani huu urais atautafuta kwa udi na uvumba, hata kama ni kwa kulisaliti chama kilichomjenga kisiasa na kuungana na kile ambacho kimekuwa kikimtuhumu yeye kwa ufisadi!
Huyu Lowassa hana jipya kabisa ya kuwapa watanzania, manake nafkiri sera zake hazitatofautiana kabisa na zile za CCM, chama ambacho alikuwa akihudumia hadi hivi majuzi.
Tanzania, hili linasikitisha sana ya kwamba hamna alternative nyingine kabisa. Either ni Magufuli au Magufuli ndiye atakaye kuwa rais.
Huyo Lowassa si ni hivi majuzi tu aliapa kutoachana na CCM? Ni vipi tena? Yaani huu urais atautafuta kwa udi na uvumba, hata kama ni kwa kulisaliti chama kilichomjenga kisiasa na kuungana na kile ambacho kimekuwa kikimtuhumu yeye kwa ufisadi!
Huyu Lowassa hana jipya kabisa ya kuwapa watanzania, manake nafkiri sera zake hazitatofautiana kabisa na zile za CCM, chama ambacho alikuwa akihudumia hadi hivi majuzi.
Tanzania, hili linasikitisha sana ya kwamba hamna alternative nyingine kabisa. Either ni Magufuli au Magufuli ndiye atakaye kuwa rais.
MK mazee, hao watu waliahaibishwa mno mbele ya umma, na hilo ilinifurahisha mno.Iconoclastes Siasa ni unafiki na uchafu, hamna jipya, hawa UKAWA walimponda sana Lowassa akiwa CCM, wakamhusisha sana na ufisadi, sasa kwa yeye kuvuka na kuhamia kwao, wamemgeuza kuwa mweupe kama pamba. Huu upuzi upo hadi hata hapa kwetu, sasa hivi akina Wetangula na Kalonzo ndio malaika na nikikumbuka jinsi walivyokuwa wanapondwa na upinzani kipindi kile wakiwa kwenye serikali.
Hata Obama ameongea kuhusu hili, walivyomzuia kuingilia mambo ya Kenya halafu sasa wapo kwenye upinzani na wanamgeukia na kumwomba.
mimi binafsi nawahofia ma-Rais wanaotokana na kuwa handpicked maana historia inasema huishia kuwa excessive loyal and obedient to the authority that picked them and forget the core task i.e. serving the peopleUmepanic
MK mazee, hao watu waliahaibishwa mno mbele ya umma, na hilo ilinifurahisha mno.
Nakumbuka jinsi ma-hardliners wale kama bi. Martha K. na Moses Weta. walivyokuwa wakizizomea nchi za magharibi kutoingilia siasa za Kenya nyakati zile hao walikuwa madarakani. Ati sasa ni hawa hawa wanaoziomba nchi hizo hizo kudhibiti mienendo ya walio uongozini Kenya kwa sasa, na kuhakikisha ''utawala mwema'' umedumishwa Kenya.
Kinaya!!!
Contest of a century really? I think the CCM has the wider edge by far over the oppotision parties.Hii game ya LOWASSA(CHADEMA) vs MAGUFULI(CCM) itakuwa contest of a century kama tu pacquao vs mayweather.
lakini pesa na maarifa ndiyo yataongea baadaye siyo wananchi..hii game itakuwa kali na huenda CCM wakacheza rafu zaidi kukizuia kiti..hasa mambo haya ya BVR hayaaminiki kamwe
Contest of a century really? I think the CCM has the wider edge by far over the oppotision parties.
I predict an easy lead for them come October.
If the opposition parties chose to form an alliance to face CCM, I guess they wouldnt even manage to notch up more than the 40% of the votes cast. The CCM will scoop the bigger portion.
I feel that the CCM is still the most widely supported party in the country.
Sio kushoboka hata kidogo. Kwani si dhahiri hata kwako ya kwamba CCMu ina uungwaji mkono zaidi Tanzania kuliko hivyo vyama vingine?punguza kushobokea mashetani CCM