Unapatikana mkoa gani mkuu
Itakuwa mkoa unaopatikana ndio sababu
sasa fanya kuhama huo mkoa
au tafuta pilipili kichaa saga vizuri, kisha ingiza kwenye tundu la mkojo utapona
au kapime mkojo
Kila la kheri mkuu
Katoro ni sehemu nzuri kwa kufanyia biashara inamzunguko mkubwa sana wa fedha.
Biashara ya hardware itakulipa zaidi maana watu wanajenga kila kukicha.
Biashara ya chakula cha kuku, biashara ya vyakula vya binadamu, biashara ya welding
Kilimo cha mboga mboga kitakulipa pia
Vyumba bei ni sawa...
Pole sana mkuu,
Kuna ndugu yangu alipata hilo tatizo ila alikuwa na Bawasili(uvimbe), nae alikuwa akijisaidia vijidamu vilikuwa vinamtoka kwa vipindi fulani fulani lakini alimuona jamaa mmoja yupo geita alimpa dawa ya kupaka na ya kuchemsha unakunywa KAPONA KABISAA.....na alimtoza sh. 20,000/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.