Recent content by Fisadi Nyangumi

  1. F

    Rais Magufuli mpe kazi Makongoro Nyerere

    Kwa madini yaliyopo ardhini na kuamua kuyaacha kwanza kwa ajili ya watanzania wote wapate ufahamu.... Kwa ile katiba iliyokuwa inampa mamlaka makubwa.... Hii familia ingekuwa tajiri sana kama ilivyo ya wenzetu wa kenya, ila ilimpasa kutoa familia sadaka ili kuokoa watanzania walio wengi ingawaje...
  2. F

    Anayemjua Fundi Mzuri wa Suti-Dar

    Kamtia kamanda wangu hasara. Ngoja nitaleta mrejesho kamili
  3. F

    Anayemjua Fundi Mzuri wa Suti-Dar

    Hawa ni waongo sana... Kuna jamaa yangu wamemtenda vibaya.
  4. F

    Mpendazoe: Mbowe anatakiwa ajiuzulu siyo kupendekeza Katibu Mkuu wa CHADEMA

    Ni ngumu kuachia uenyekiti kwa kuwa uwajibikaji ni kitendawili kwao
  5. F

    Kuchoka kwa kufanya kazi sehemu moja kwa muda mrefu

    The fear of unknown ndio inawatisha watu... Ila mimi kukaa sehemu kwa miaka mitatu haiwezekani labda iwe kwenye jiji. Mawazo hayapanuki, marafiki wale wale. Changamoto zile zile mpaka utazeeka kabla ya wakati.
  6. F

    Sakata la Katibu Mkuu, CHADEMA tugawe zone tuanzishe vyama

    mamlaka ambazo zimeshanunuliwa...chama kimepoteza mwelekeo..
  7. F

    Human microchips analysis

    ukibisha kuwekewa na ukizingatia wana umiliki mkubwa....itakuwa hupandi ndege/treni zao,hupati huduma za hosp,hotel,shule,benki,madukani,N.K. Afu tuone mtaishi vipi ikizingatia serikali yako ndio nayo itakuwa wakala mkuu
  8. F

    Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

    atulie tu na kuacha sifa za kutaka kuonekana ka mtoto mdogo.
  9. F

    Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

    hongera kwa kumkuta mkeo bikra... hongera nae kukukuta bikra...ila kumbuka maisha na mahusiano hawapangi binadamu...unapenda na kupanga ila mwenyezi Mungu anapangua.
  10. F

    Exim bank kuweni serious na wateja

    hamia crdb...benki inayokuwa kwa kasi nchi nzima
  11. F

    Mkurugenzi mkuu CRDB mulika tawi la Chamwino Dodoma

    matawi mengine yako vizuri...mimi nafurahia huduma zao ..
  12. F

    Dr. Kigwangwala alitakiwa awe waziri Kamili

    Ni msaidizi kwa maana wizara ya afya hakujatulia...akijiuzulu huyu wa juu yake atashika yeye..usiwe na shaka!
  13. F

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Lazima mtii mamlaka iliyopo....
Back
Top Bottom