Dr. Kigwangwala alitakiwa awe waziri Kamili

Dr. Kigwangwala alitakiwa awe waziri Kamili

Mtu kuvamia Hosp ndiyo kuwa na uwezo mkubwa??
 
kama sikosei Dr hamis kingwangala ndiye aliyekua kiongozi wa mgomo wa madaktari pale muhimbili mwaka ya 2000s ambapo sumaye alienda wakamzomea kwa kupiga makofi
 
Huko Amana alienda na Vitanda? dawa za bure kwa ajili ya wazee? majengo ya kulazwa wagonjwa? Kama kazi zao ni kukagua daftari la mahudhurio sioni kipya? Hayo matatizo yanafahamika, wasituletee siasa bali wayatatue. Watawahadaa watanzania, halafu watanzania hao wanakuja kutupigia kelele sisi wataalamu.

Mgonjwa anakuja, unasoma prescription, unamwambia dawa hii hatuna. Utamsikia mzee wa watu analalamika, "tumeambiw dawa zipo, mnatuibia nk..." Inachofanya serikali ni kutuchonganisha watumishi na watanzania. Tatueni kero, acheni siasa. Sasa, nitoe hela yangu nimnunulie mgonjwa dawa? Nitasaidia wangapi?

Wazee wanakumbwa na magonjwa ambayo dawa zake ni ghali; Magonjwa ya moyo & homoni ... Na serikali inapaswa kuwapatia dawa hizi, ndo vitu anavyopaswa kuvisimamia waziri sio kukagua attendance sheets. Zinamsaidia nini mtanzania? Siku akipita ofisini kwangu nitamweleza hayo, sipendi unafiki. Otherwise, mkitaka wazee wenu waishi vizuri wakatieni BIMA, vinginevyo utaingia gharama kubwa sana.
 
Mimi binafsi simfahamu Dr Kigwa na sijawahi kukutana naye, ila kwa mawazo yangu mapana nafhani kuwa huyu dr alitakiwa apewe hii wizara, huyu kiongozi wetu ni jamaa ambaye ana misimamo yake na ni mtu ambaye nina uhakika ni msikivu na anajua matatizo ya wananchi katika hospitali zetu.

Ni mtu ambaye unaweza kumpata kwa urahisi sana na kumpa ujumbe au malalamika yako na pia kumpa ushauri kama unao.

Nina uhakika huyu jamaa ataenda mbali sana.

Juzi alitembelea Hospitali ya Ilala alikuta madudu na baadhi ya ofisi hakuna huduma na ofisi zimefungwa.

Sijui atachukua hatua gani ila ninachodhani ni kuwa Katika hospitali zetu kuna watu ambao wamejisahau sana na wamesahau wajibu wao, ni wajibu wetu kufanya kazi kama inavyostahili.

Kila la Heri Dr, najua tutapata mabadiliko mengi sana ndani ya hii wizara. Ila muanze kupokea malalamiko ya wananchi na ushauri pia kwa sababu hamuwezi kufika kila sehemu at once na kwenye maamuzi yenu mjue kutenganisha chuki za watu binafsi na reality.

Asante.
saint ivuga.

Tusianze kumpangia rais Magufuli ilikuwa ni juu yake kumchagua au kutomchagua, yeye ndiye dereva anayejua gari yake ikoje na ndiye anayeona kama mbele kuna shimo au la. Tumuache afanye kazi zake za uteuzi bila ya kumuingilia tunachotaka kuona ni mafanikio na maendeleo kwa watanzania kwa ujumla
 
Kigwangala ana misifa sana CCM imempofusha kiasi cha kuweza kuona upande mwingine wa shilingi. Hiyo tu inadhihirisha he is blind folded thinker
 
Ndugu yangu labda wewe ndio unaleta siasa nakumbuka katika mdahalo Dr Kigwangallah alidai macho makavu eti hakuna wagonjwa wanaolala chini ?.Kukataa kukiri tatizo ni tatizo kubwa kuliko tatizo lenyewe Dr Kigwangallah ni tatizo kwakuwa ana sifa ya kuona tatizo.

Mkuu Ngongo,naona tabia ya kuwapamba wanasiasa na wanasiasa kujipamba imeanza kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii,na viongozi wetu wanaitumia hii strategy vizuri kufikia malengo yao. Ummy ndio kwanza kaapa kuwa waziri juzi,na ikiwa na ziara nae alifanya na anasikiliza malalamiko vile vile. Inashangaza kwamba hatutafiti hata viongozi wetu kabla ya kuwazungumza na kuwapa sifa,inashangaza hata kabla ya kuwa na mwezi ofisini watu wana picha ya mafanikio ya viongozi wenye changamoto ambazo zimekuwepo miaka nenda rudi zilizo mbele yao na zaidi inashangaza kwamba tunaweza kusema kiongozi fulani alipaswa kuwa fulani siku mbili baada ya kuwa ofisini. Sijui tunakoelekea.
 
Ni kweli...
Wizara ambazo zina profession ambayo si rahisi kuifahamu kwa mere briefing zingeachwa na watu wa hizo profession..
Najua before walikuwepo madaktari kwenye hii wizara na maybe hawaku make a difference,
Lakini with JPM kwenye Usukani Dr Kingwangala ana fit vizuri...
Nimevutiwa na alivyowauliza amana kwa nini wanafunga chumba cha ultrasound...na ku refer wagonjwa Muhimbili unnecessarily
 
Grow up brother ! Nimesema kwa mawazo yangu. Labda kama unataka na mimi nianze kuku attack sema, manake naweza sana. Ila nina uhakika umesoma heading tu.
But asante kwa kuchangia thread yangu.
Sijatumwa na kigwa na hawezi kufanya hivyo kwani haina impact yoyote
Sasa mdau juzi si ilikuwa si siku ya kazi unadhan ofisi zooote utazikuta wazi?
 
Sasa ndugu huoni kwa kutoroka vituo vya kazi huwezi kuwahudumia walipa kodi no matter what?
Yani nusu ya madaktari wasiwepo vituoni na useme si muhimu kucheki attendance..???
Si muamie kabisa private.... muone kama watawavumilia..

Huko Amana alienda na Vitanda? dawa za bure kwa ajili ya wazee? majengo ya kulazwa wagonjwa? Kama kazi zao ni kukagua daftari la mahudhurio sioni kipya? Hayo matatizo yanafahamika, wasituletee siasa bali wayatatue. Watawahadaa watanzania, halafu watanzania hao wanakuja kutupigia kelele sisi wataalamu.

Mgonjwa anakuja, unasoma prescription, unamwambia dawa hii hatuna. Utamsikia mzee wa watu analalamika, "tumeambiw dawa zipo, mnatuibia nk..." Inachofanya serikali ni kutuchonganisha watumishi na watanzania. Tatueni kero, acheni siasa. Sasa, nitoe hela yangu nimnunulie mgonjwa dawa? Nitasaidia wangapi?

Wazee wanakumbwa na magonjwa ambayo dawa zake ni ghali; Magonjwa ya moyo & homoni ... Na serikali inapaswa kuwapatia dawa hizi, ndo vitu anavyopaswa kuvisimamia waziri sio kukagua attendance sheets. Zinamsaidia nini mtanzania? Siku akipita ofisini kwangu nitamweleza hayo, sipendi unafiki. Otherwise, mkitaka wazee wenu waishi vizuri wakatieni BIMA, vinginevyo utaingia gharama kubwa sana.
 
Kama humfahamu si UTULIE TU uulizie kwanza habari zake? Ona "walivyokushukia"..
.
 
Sasa ndugu huoni kwa kutoroka vituo vya kazi huwezi kuwahudumia walipa kodi no matter what?
Yani nusu ya madaktari wasiwepo vituoni na useme si muhimu kucheki attendance..???
Si muamie kabisa private.... muone kama watawavumilia..

Mkuu, ugomvi wangu mimi na hawa mawaziri & watendaji ni vipaumbele. Kama uliangalia juzi baada ya kuapishwa wote walivamia maeneo yao, na kipaumbele kilikuwa ni kukagua ma counter books. Mkuu, Naweza kukaa pale na nisimuhudumie mtu katika ubora. Issue sio kushinda kazini siku nzima, bali ni kutatua changamoto zikiwemo za watumishi
 
mvumilie. watu wengine wako kupinga kija jambo, iwe mitizamo, maoni, n.k

Mkuu hongera kwa akili pevu,, wapewe muda hata JPM ni mapema mno kumsifia au kumshusha let us give them sometime na support when needed.... kupinga kila kitu sio kabisa
 
Huko Amana alienda na Vitanda? dawa za bure kwa ajili ya wazee? majengo ya kulazwa wagonjwa? Kama kazi zao ni kukagua daftari la mahudhurio sioni kipya? Hayo matatizo yanafahamika, wasituletee siasa bali wayatatue. Watawahadaa watanzania, halafu watanzania hao wanakuja kutupigia kelele sisi wataalamu.

Mgonjwa anakuja, unasoma prescription, unamwambia dawa hii hatuna. Utamsikia mzee wa watu analalamika, "tumeambiw dawa zipo, mnatuibia nk..." Inachofanya serikali ni kutuchonganisha watumishi na watanzania. Tatueni kero, acheni siasa. Sasa, nitoe hela yangu nimnunulie mgonjwa dawa? Nitasaidia wangapi?

Wazee wanakumbwa na magonjwa ambayo dawa zake ni ghali; Magonjwa ya moyo & homoni ... Na serikali inapaswa kuwapatia dawa hizi, ndo vitu anavyopaswa kuvisimamia waziri sio kukagua attendance sheets. Zinamsaidia nini mtanzania? Siku akipita ofisini kwangu nitamweleza hayo, sipendi unafiki. Otherwise, mkitaka wazee wenu waishi vizuri wakatieni BIMA, vinginevyo utaingia gharama kubwa sana.

Yes hiki ndicho kilicho serikalini. Vitanda havipo hospitalini eti Manesi wamevihamishia kwao. Tunagombanisha Watumishi na Wananchi then Wanasiasa wanapeta. Hii siyo haki. Tusitumie uelewa mdogo wa Wananchi kusukuma mzigo kwa watumishi wa umma.
 
Naungana 100% na mleta mada, uzuri kigwa anauliza kitaalamu na kushauri kama mwana taaluma haswa
 
Ni msaidizi kwa maana wizara ya afya hakujatulia...akijiuzulu huyu wa juu yake atashika yeye..usiwe na shaka!
 
mtoa mada ni mburura.humjui kigwa wala hakujui unajipendekeza eti anafikika kirahisi,we ni kiazi kweli
 
Back
Top Bottom