Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

Lowassa aanza kuchunga ng'ombe huko Handeni, Tanga

kabla hujaandika jambo jaribu kufikiria kwanza... LOWASA alishakuwa waziri mkuu wa hii nchi.. level yake sio hiyo unayoiwaza wewe popoma wa bongo muvi

Uwaziri wake ni wahasara hivyo hana faida huyo
 
Jamaa anajituma vyema sana...
Mapopoma ya humu kazi kubweka tu
 
Ngoja aumwe na nyoka huko porini ndio atajua madhara ya usanii. Mchungaji gani wa ng'ombe anayevaa shati la Versace, suruali toka duka la Harrods na viatu vya kiitaliano akiwa mbugani?

Anafurahisha Misukule yake
 
Ngoja aumwe na nyoka huko porini ndio atajua madhara ya usanii. Mchungaji gani wa ng'ombe anayevaa shati la Versace, suruali toka duka la Harrods na viatu vya kiitaliano akiwa mbugani?
Huo ni wivu wa kukosa. Hakuna nguo maalumu kwa mchungaji kuvaa wala viatu. usiishi kwa kukariri, hii ni karne ya 21 kwenda ya 22.
 
jamani hamkuwa mnajua lengo lake ninini? !? lengo kuu lilikuwa ni kuua ajenda ya ifisadi ili kuishi kwa amani na starehe. leo mani ataongelea ufisadi. si utatonesha vidonda watu waanze kukumbukia

Mizoga ya Chadema sasahivi neno Ufisadi haitaki kusikia
 
Ngoja aumwe na nyoka huko porini ndio atajua madhara ya usanii. Mchungaji gani wa ng'ombe anayevaa shati la Versace, suruali toka duka la Harrods na viatu vya kiitaliano akiwa mbugani?

Maskini wa roho wewe na sio pesa tu, majungu mtoto wa kiume kama mwanamke
 
Kaona Magufuli hatanii aliposema atachukua maeneo yote ya ranchi ambayo hayatumiki ipasavyo na kuwagawia wananchi.Lowasa kaona ahamie huko aite na vyombo vya habari ajionyeshe kuwa yeye hilo shamba analitumia ili Magufuli ASILICHUKUE .Lowasa mjanja.Kaona shamba litaondoka akibaki Monduli au Dar katimka mwenyewe mbio.Chezea Magufuli.Magufuli endelea kukakamaa hivyo hivyo.
 
Bora anayechunga ng'ombe maana huyo anaweza kulinda kondoo wake lakini nasikia yupo MOROCO anacheza play station ni kweli?
 
Bila shaka na vijana wake wa ULIPO TUPO watamfuata huko machungani kumdekia.Live life to the fullest.
 
Back
Top Bottom