yan mmi kwangu kuoa mwanamke anamtoto ni haitawezekana kufa kupona
Ata kma alinificha nkajua baada ya miaka sita namuacha SKU io io au alizaa mtoto akafariki namuacha SKUio io
Post sent using JamiiForums mobile app
Jamani mi naomba nieleweshwe kwa wale watu wa biology.
Kuna mdada aliekuwa mpenzi wangu kashajifungua mtoto ana kama miaka miwili hivi na sio siri yule mtoto anafanana na mimi aslimia mia ila mama yake anasemà sio mtoto wangu ila anakili ananipenda sana na anatamani ningezaa nae hiv ni ukweli...
waziri wa fedha philip mpango atenguliwa na nafas yake kukahimiwa na zitto kabla ya uteuz Huu zitto alikuwa mbuge tyu wakawaida na philip atapangiwa kaz nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.