Recent content by finias sospeter kabungulu

  1. F

    Kwanini wanaume wengi hawawezi kuoa mwanamke mwenye watoto?

    yan mmi kwangu kuoa mwanamke anamtoto ni haitawezekana kufa kupona Ata kma alinificha nkajua baada ya miaka sita namuacha SKU io io au alizaa mtoto akafariki namuacha SKUio io Post sent using JamiiForums mobile app
  2. F

    Huyu linex wa Dj Khaleed vipi?

    jamaa katukana on media Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
  3. F

    Msaada: Anadai mtoto sio wangu ila tunafanana

    Jamani mi naomba nieleweshwe kwa wale watu wa biology. Kuna mdada aliekuwa mpenzi wangu kashajifungua mtoto ana kama miaka miwili hivi na sio siri yule mtoto anafanana na mimi aslimia mia ila mama yake anasemà sio mtoto wangu ila anakili ananipenda sana na anatamani ningezaa nae hiv ni ukweli...
  4. F

    Rais Magufuli kama Florentino Perez, Usajili wa Mghwira na Mkumbo waizika rasmi ACT Wazalendo

    waziri wa fedha philip mpango atenguliwa na nafas yake kukahimiwa na zitto kabla ya uteuz Huu zitto alikuwa mbuge tyu wakawaida na philip atapangiwa kaz nyingine
  5. F

    Halotel wanawaibia wateja

    Utakuwa umenilipia mmi maana mmi nmekopa NA skatwi
  6. F

    Advanced Diploma: Ni Digrii ama nini?

    unatakiwa kusema adv dpl ni watu gani tofaut yao na diploma nni ili tuelewe sio kuwasifia
  7. F

    Tofauti kati ya wenye vibamia na wenye mihogo ya muheza

    A-ha A-ha aha vibamia mnaroho nzuri Sana yani mnapendana Sana mnapean tyuu mafaraja
Back
Top Bottom