NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,800
Watu mnajua kujitoa akili kweli, Advanced diploma ni sawa na bachelor degree.
Mkuu umekwisha sema Adv Diploma sasa shida iko wapi? Kwa hiyo basi kwa Tanzania Adv Diploma ni degree? Hivi hiyo Adv. Diploma umeangalia alichukua masomo gani? Je, degree? Then, ndio nyinyi mnakuja kusema elimu imeporomoka. Angalieni vigezo na masomo ambayo mtu amejifunza kupata hiyo shahada nk. Spain kwa mfano wao wanatumia Baccalaureate lakini kama umefanya nao kazi utagundua wanapwaya sana katika sehemu flani flani, tuache kurukia mambo na kutaka kuhalalisha Advance diploma kuwa sawa na degree. Huo ni umburukenge.
Hata matangazo ya kazi zinaandikwa zote kama una Advanced diploma au degree mnaomba post moja.
Na kwa sasa imeshafutwa haipo.