Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Uvaaji wa saa umenza tena kurudi lakini siyo kwa kuangalia muda. Uvaaji wa saa unarudi kama fashion.

Ndo maana hata makampuni ya simu yamekuja na smartwatches zenye dhamani kubwa.

Tatifiti zinaonyesha kuwa mtu mmoja kati ya wanne wanavaa saa kwa ajili ya kuangalia muda.

Asilimia 27 wanavaa saa kama urembo na mmoja kati ya watu nane wanavaa saa kuonyesha status yao kwenye jamii. Watu matajari wanachukulia saa kama kama alama ya utajiri na mafanikio.

Hata hivyo, smartphone zimepetoza umuhimu wa saa za kawaida. Sema tuu saa za siku hizi nazo zimekuwa smart siyo kwa ajili ya kuangalia muda bali kama fasheni na nyngine zinakupa real time data.

Ukweli ni kuwa watu wengi jua na simu kujua muda. Isitoshe siku hizi saa zipo kila mahali, mpaka kwenye barabara, magari, shopping centres, maofisini, nk.
 
Saa ya mkononi ina maana nyingi tofauti. 1. Kuonyesha muda.
2. Umaridadi na siyo usharobaro kama ww unavyoita
3. Saa wakati mwingine ni sawa na mali iliyohifadhiwa thus why kuna baadhi ya saa ya mtu maarufu huuzwa kwa mnada TENA kwa gharama kubwa. Kwa hbr ya muda kuna baadhi ya maeneo ya huduma huruhusiwi kutumia simu, mf Maabara ma umevaa glove, hivyo saa ni ya muhimu. Lakn kina baadhi ya vipimo ya maabara unapima muda kwa sekunde 5 tu kwa simu huoni ni tatzo japo ina saa?
 
Kwa hbr ya muda kuna baadhi ya maeneo ya huduma huruhusiwi kutumia simu, mf Maabara ma umevaa glove, hivyo saa ni ya muhimu.

Hivi bado kuna maabara ambazo bado hazina saa ya ukutani? That must be an old fashioned laboratory.

Sehemu mabazo sijawahi kukuta saa ni vyooni.
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
======

Mada hii ni moja kati ya zilizojumuishwa kwenye kipindi cha Jamii Leo katika chaneli yetu ya YouTube. Kuona habari nyingine zaidi, tazama video hii hapa chini:

Kuvaa saa ni kitu muhimu kwasababu kuna mazingira hauwezi kutoa simu ukaangalia ni muda; ndipo saa huonekana muhimu ktk hali na mazingira kama hayo. Kuvaa saa si mbwembwe labda sasa kwa mtu kama wewe ndugu kama labda mazingira yako yanakuruhusu muda wote na ktk kazi zako zote kutumia simu!
 
hata kanisani atakuwa anaacha Bible home anaenda kutumia digital version aliyodownload kwenye simu yake
 
mtoa masa
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
======

Mada hii ni moja kati ya zilizojumuishwa kwenye kipindi cha Jamii Leo katika chaneli yetu ya YouTube. Kuona habari nyingine zaidi, tazama video hii hapa chini:
[/QUO
mtoa mada hayuko serous, hana tofauti na wale wanaolinganisha PC na smartphone
 
Mimi pia nina saa nyingi mno ndio ugonjwa wangu. Nikisahau kuvaa saa narudi kuvaa ni kama sijavaa viatu
Huu utumwa ndio tunaoukataa kwa nguvu zetu zote. Vitu vingine ni mazoea tu lakini havina maana yoyote...ndio maana mtaani mafundi wa simu wamejaa kila kona lakini mafundi SAA huwezi kuwakauta. Hii inaashiria kwamba saa zimepitwa na wakati.
 
A really gentleman lazima avae SAA kwani SAA ni moja kati ya pambo zuri sana na lisilombadilisha sifa ya ulijali mwanaume zaidi ya kumfanya aonekane gentleman.
A gentleman can't be complete without a watch and wallet.... OVER!!
 
Kwa Kweli saa ni kama vazi kwani mm nisipovaa mkono unakuwa mwepesi, yaani bila saa siku nzima najiona tofauti kabisa
 
Kati ya vitu classic na gharama ni SAA napenda sana na collection kama kumi hivi kuanzia Euro 4000 mpaka euro 200.
 
Back
Top Bottom