Yote kwa yote hii mifuko ni mizuri for long term investment maana hata Jubilee life insurance wana mfuko wa Fanaka unafanya kazi kama UTT lengo ni kudunduliza saving upate lump sum baada ya miaka kadhaa (miaka 5-20) ufanye uwekezaji mwingine
Kuna kitu kinaitwa overnight lending,financial sectors zote ukideposit tu hela yako inaenda kwenye mzunguko yaani wananunulia bonds e.t.c so ukitaka hela yako hawana kwa muda huo so wanakopa pia ili kukupa hela yako wakati ndo maana kuna delay ya kukupa hela yako....karibu
Hahahah hii nilipitia pia japo nilitoka na div I but nikilala huwa naota nipo advance huwa nalia maana physics ilininyanyasa sana nikiamka nacheki cheti changu nacheka sana na kulia kwa furaha.
Ile stress imenifanya hata kazini siwezi ku panic kwa lolote,i can handle anything in this life yaani...
Nadhani dawa ni maziwa mimi kazini muda wote nina chupa ya maziwa nusu lita kila siku the whole day nakunywa kama maji vile vidonda sijavisikia muda mrefu nahisi kupona
Udsm but Nilishaachana na geoloy,kwahiyo industry nadhani imenipita ila those days we did explorations za oil,gas,water na minerals kama field geologist
Drilling ya exploration ni test holes ni visima vifupi vya majaribio ambavyo sio gharama sana kama drilling iliyopo kwenye production ambayo mnachukua cores na ni ghali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.