blactrader
Member
- Jun 8, 2016
- 7
- 11
Nadhani apa iko ivi, ukata wa fedha amaanisha hakuna fedha za settle transaction mfano wewe ukijaza form ya repurchase ukiwa unauza vipande ina maana unatakiwa upewe fedha yako ila unakuta hawana cash kwa muda huo ya kutosha kukamulisha huo muamala wako kwa sababu UTT hawakai na hela ya mtu na wao benki sio kama upatu kwa kijumbe wao wakipata fedha wanaenda kuwekeza kwenye masoko ya hisa na fedha mfano wananunua bond za BOT pia ambazo unakuta ni za 15years ndo zina mature sasa kama wamenunua bond kwa fedha zenu ambazo awali mliweka wanatoa wapi hela ya kukulipa ukiuza vipande vyako, ndo pale unakuta kuna wawekezaji wengine wanakuja kuwekeza kwahy wewe utapewa fedha baada ya wao kuipata kutoka kwa huyu muwekezaji mwingine. Ila wao unakuta hawajauza zile bond kule BOT ama hawajauza hisa yoyote ile ili kukamilisha muamala wako.Huo ukata wa fedha kivipi wakati mfuko unaona thamani yake inaongezeka. Mfano Liquid kwa sasa ina value ya 1 Tillion TZS. Au hii value haina uhusiano wa moja kwa moja na pesa zilizowekezwa?
NB hii ni kwa uelewa wangu juu ya masoko ya hisa na fedha i stand to be corrected