Wamenifanya hadi nikasafiri kwa ajili ya kwenda kutoa pesa kwa wakala wao maana yuko mbali na hakukuwa na njia yoyote ya kutoa pesa zaidi ya wakala wa T pesa,huu mtandao unajifia!
Ni mwezi sasa T pesa haifanyi muamala wowote wa kutuma pesa kwenda mtandao mwingine au bank..na mnajua wazi mawakala wa T pesa vijijini hakuna sijui mnafikiria nini NAJUTA KUWEKA PESA HUMU😡
Kwa bede 9 alitakiwa atoe kilo 72+ bonde la usangu wanalima saro 5 hiyo mbegu ikikutana na ukosefu wa maji wakati wa kuchanua inatoa kilo 8 tu kwa bede na mwaka huu mbarali imekumbwa na hiyo changamoto ya ukame
Maoni mengi yamekuwa ya uongo sijajua waliojibu wengi hawaujui mpunga au vipi..
Debe 1 la mpunga ukiliweka kwenye mzani linatoa kilo 15 ukikoboa mchele ukatoka vizuri (usikatike) lazima litoe kilo 10 za mchele,ukikatika linataa 8 kushuka chini...
Vilevile ukiachana na mchele kutoka vizuri pia...
Hamna kitu! peter lijualikali amewavunja mioyo ya watu wengi wa kilombero na kuiona siasa ni upumbavu...
Watu wamekufa,watu wamekuwa walemavu wa kudumu,mpaka leo hii wengine wapo magerezani.. yote ni ilikuwa kuitoa madarakani ccm kwa mara ya kwanza katika jimbo hili lakini alichofanya yule...
Soma hii halafu ingia Facebook kam follow jamaa anaitwa Cekam cekams
Huu ni walaka nilioandika kwenye comment kufuatia post ya ndugu Comred Mbwana Camerôò Allyamtu alipouliza kuhusu mseleleko wa maji ya mto Nile kuelekea Kaskazini alikopaita "Juu"
Nilianza kwa kusema....
Bro, Kaskazini sio...
Acha zako basi tanga kuna uzuri gani..?? Au zile barabara ?
Nyumba za udongo hata kariakoo zipo kibao au hujawahi ziona? Pia msamvu ni morogoro mjini lakini uzuri wa mji wa morogoro sio hapo msamvu..hapo ni barabara na stendi kuu+round about kubwa zaidi Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.