Recent content by feisar wa moro

  1. feisar wa moro

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Wamenifanya hadi nikasafiri kwa ajili ya kwenda kutoa pesa kwa wakala wao maana yuko mbali na hakukuwa na njia yoyote ya kutoa pesa zaidi ya wakala wa T pesa,huu mtandao unajifia!
  2. feisar wa moro

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Ni mwezi sasa T pesa haifanyi muamala wowote wa kutuma pesa kwenda mtandao mwingine au bank..na mnajua wazi mawakala wa T pesa vijijini hakuna sijui mnafikiria nini NAJUTA KUWEKA PESA HUMU😡
  3. feisar wa moro

    Michele unaanza kushuka lini?

    Hautashuka bei maeneo mengi watu wamekosa mpunga!
  4. feisar wa moro

    Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?

    Kwa bede 9 alitakiwa atoe kilo 72+ bonde la usangu wanalima saro 5 hiyo mbegu ikikutana na ukosefu wa maji wakati wa kuchanua inatoa kilo 8 tu kwa bede na mwaka huu mbarali imekumbwa na hiyo changamoto ya ukame
  5. feisar wa moro

    Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?

    Maoni mengi yamekuwa ya uongo sijajua waliojibu wengi hawaujui mpunga au vipi.. Debe 1 la mpunga ukiliweka kwenye mzani linatoa kilo 15 ukikoboa mchele ukatoka vizuri (usikatike) lazima litoe kilo 10 za mchele,ukikatika linataa 8 kushuka chini... Vilevile ukiachana na mchele kutoka vizuri pia...
  6. feisar wa moro

    Kilimo Cha mpunga kinalimwa mikoa mingi Tanzania sio Mbeya na Morogoro watu walivyo kalili

    Morogoro wilaya ya kilombero ndiko unavunwa mpunga mwingi kwa sasa Tz.
  7. feisar wa moro

    PreGE2025 John Heche atikisa Kilombero ni katika Maandalizi ya kung'oa CCM 2025

    Hamna kitu! peter lijualikali amewavunja mioyo ya watu wengi wa kilombero na kuiona siasa ni upumbavu... Watu wamekufa,watu wamekuwa walemavu wa kudumu,mpaka leo hii wengine wapo magerezani.. yote ni ilikuwa kuitoa madarakani ccm kwa mara ya kwanza katika jimbo hili lakini alichofanya yule...
  8. feisar wa moro

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Soma hii halafu ingia Facebook kam follow jamaa anaitwa Cekam cekams Huu ni walaka nilioandika kwenye comment kufuatia post ya ndugu Comred Mbwana Camerôò Allyamtu alipouliza kuhusu mseleleko wa maji ya mto Nile kuelekea Kaskazini alikopaita "Juu" Nilianza kwa kusema.... Bro, Kaskazini sio...
  9. feisar wa moro

    Kuna vitu naviona angani usiku huu baada ya umeme kukatika

    Hizo ni satellite za starlink za bwana Alon musk
  10. feisar wa moro

    Wanawake wembamba msikate tamaa

    Watulie zamu yao ya kupendwa itafika tu,hata Tv za chogo zilipendwa sana zamani ila siku hizi zinapendwa flat screen
  11. feisar wa moro

    Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

    Acha zako basi tanga kuna uzuri gani..?? Au zile barabara ? Nyumba za udongo hata kariakoo zipo kibao au hujawahi ziona? Pia msamvu ni morogoro mjini lakini uzuri wa mji wa morogoro sio hapo msamvu..hapo ni barabara na stendi kuu+round about kubwa zaidi Tz
  12. feisar wa moro

    Kwa haya mambo 2 natangaza rasmi kuunga mkono January Makamba kukamata kijiti kuongoza Tanzania kuanzia 2030

    Kwahiyo hata masika maji huwa machache kwenye mabwawa?? Na hayo mabwawa yameanza kukauka baada ya yeye kushika wizara sio?
Back
Top Bottom