Mimi bado nipo balance kwasababu yote uliyo ya sema yana uzuri wake na ubaya wake. Mfano una weza ukaanza kulima moja kwa moja wewe mwenyewe na ukauza wewe.
Ila hii ita hitaji uwe na mtaji mkubwa sana kwa maana gharama za kilimo ni kubwa sana kama utaamua kufuata protocol zote pia ukiwa na shamba kubwa mfano ukiwa umeanza hata na acre 5 pia sio mzoefu ni ki mbembe hapo ila una weza kufanikiwa, pamoja na changamoto zote hasa shamba lako likiwa kwenye mkondo mzuri wa maji au ukiwa una water pump pia maji yawe karibu hapo uhakika wa kuvuna ni 90%
ii) una weza pia ukaanza kununua kwa wakulima mpunga au mchele na wewe unaenda kuuza kwenye masoko yako popote unapo jua wewe.(mchuuzi) ila hii ina weza kukuletea noma kama soko likiwa gumu mfano mwaka huu mpunga upo juu sana una weza kununua gunia la mchele lenye kg 100 Mbarali kwa T250k then uje uuze bei gani Dar?hapo kuna ushuru,usafiri, mifuko, makuli pia. Yaani ni ina ugumu wake mkuu. Japo kama una mtaji mkubwa hata wa gunia 300 una weza kupiga kazi kwa kukubali kupata faida hata ya 20k kwa kila gunia ila ili ku return hela yako ita tegemea na mzunguko wa biashara yako kama ina enda kasi au la!? Ni hayo tu kwa leo (Thecoder)