Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,086
- 5,142
Hivi kuzaliana hovyo ni sifa siku hizi?Arusha haina watu kabisa ,
Au hawakuhesabu vizuri?
Hivi kuzaliana hovyo ni sifa siku hizi?Arusha haina watu kabisa ,
Au hawakuhesabu vizuri?
Watanzania wengi hawaelewi kuhusu serikali za mitaa hususani Mikoa, miji, manispaa, majiji, miji midogo, tarafa, kata, mitaa nk. Wanabutua tuIla unachotakiwa kujua, Siyo miji yenye watu wengi, bali mikoa yenye watu wengi.
Mkoa maana yake, wanaishi eneo lote la utawala wa mkoa.
Watanzania wengi hawaelewi kuhusu serikali za mitaa hususani Mikoa, miji, manispaa, majiji, miji midogo, tarafa, kata, mitaa nk. Wanabutua tuIla unachotakiwa kujua, Siyo miji yenye watu wengi, bali mikoa yenye watu wengi.
Mkoa maana yake, wanaishi eneo lote la utawala wa mkoa.
Nilifariji ili nifaidike nini sasaHakuna kitu kama hicho unajifariji tu. Pole sana.
Sababu ni moja tu morogoro ndo eneo kimkakati la ulinzi wa Taifa letuNi kipi kinasababisha Morogoro isiwe jiji??
Mbona Tanga imekuwa jiji kitambo Sana! au sababu hakuna barabara kama za Tanga mijini?
Na Mbeya nayooo!!🤔🤔
ka Arusha ni kamkoa kadogo sana. kalipaswa kuwa kawilayaArusha haina watu kabisa ,
Au hawakuhesabu vizuri?


Umewah fika Tanga?????? Kuna watu humu huwenda tunabishanaga nao tuu ilimradi.Hii chai ghorofa Tanga litoke wapi ?
Chuga haijahesabiwaIfuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625
Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
MwanzaIfuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625
Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
kwan arusha vip?Ifuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625
Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
Acha zako basi tanga kuna uzuri gani..?? Au zile barabara ?Umeshafika morogoro mjini au uliishia msamvu tu,kuna hadi nyumba za udongo,Tanga kuzuri sana acha kabisa
Moro ni hali ya hewa tu ila hakuna kituAcha zako basi tanga kuna uzuri gani..?? Au zile barabara ?
Nyumba za udongo hata kariakoo zipo kibao au hujawahi ziona? Pia msamvu ni morogoro mjini lakini uzuri wa mji wa morogoro sio hapo msamvu..hapo ni barabara na stendi kuu+round about kubwa zaidi Tz
Tumepigwa kweupe!!hii report hizi ni hatari yaani idadi ya magrofa ya Mwanza uzidishe mara mbili ndio unapata idadi ya magorofa ya Tanga😂😂😂😂