Habari wakuu,
Naomba kujua kwa wale wenye experience ya maduka ya mangi kama nitakaloliambatanisha hapo kwenye picha ,kuanzisha inahitaji mtaji wa shingapi ? Imechukua frame mbili hiyo.
Asante
Habari wakuu
Naomba msaada wa kufahamu wakuu wa taasisi za serikali hasa mashirika ya umma ambao wamedumu kwenye nafasi zao katika taasisi hizo hizo kwa muda mrefu walau miaka mitano bila kubadilishwa au kutenguliwa kuanzia 2016.
Asante
Habari wakuu
Nani ambaye anaweza kunisaidia au kutusaidia kupata orodha ya wakuu wa taasisi (mashirika ya umma )ambao wamedumu kwa muda mrefu katika nafasi zao kwenye taasisi moja bila kubadilishwa au kutenguliwa ?Walau kuanzia kuanzia mwaka 2016 mpaka leo .Tupate ya ambao walau wamekaa kwa...
Greetings All
Et wasichana/kina mama ,wakati wa sex mnapenda ifanywe kama mnaadhibiwa na kugeuzwa geuzwa kwa kila namna au mnapenda tu soft ya kiutu uzima [emoji23]kifo cha mende basi ?
Make kuna mda unamkunja mtu hadi huruma [emoji846]
Watu tu wamecomment tu kwa hasira…[emoji23]
Itoshe kusema wamekuonea wivu kula wanyama watatu
Ukweli ni kwamba hapa mjini mademu wengi wanaliwa sana kisa tu gari
Mfn hizi safari za kwenda job daily monii ukiwa na ndinga unawakamua wengi sana
Nipo songea one week sasa, bado wiki nyengine moja, mbona huu mji hauna pisi asee, viwanja pia mushkiri, kila siku saa tatu nishajifunika mablanket ya shy annex
In short ni hivi, Ada ya mtu mmoja wa MD inaweza kuwa package ya wanafunzi wawili au zaidi ambao maybe wamepewa boom peke yake, so kuliko kumpa mtu mmoja pesa kubwa hiyo ni bora kuwapatia wengine hata boom tu wenye uhitaji, priority ni wapate wengi sio mtu mmoja kupata kiasi kikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.