Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 759
- 1,284
Habari!
Baada ya Bodi ya Mikopo( HESLB)
kutangangaza majina ya wanafunzi ambao ni
wanufaika wa mikopo kwa awamu ya
kwanza(Batch one Beneficiaries) Wanafunzi
wa Afya hasa hawa wa M.D imeonekana
wamepata Meals and Accomodation pekee
ambapo;
BS= 0
TUITION= 0
FPT 0
SFR 0
RESEARCH 0
So, Kwa yeyote aliyepata taarifa(Za ndani
kabisa) au mwenye uelewa na hili jambo
anaweza kushare nasi jambo hili( Maana ni
Wanafunzi wengi sana wa M.D)
Natanguliza shukrani
Baada ya Bodi ya Mikopo( HESLB)
kutangangaza majina ya wanafunzi ambao ni
wanufaika wa mikopo kwa awamu ya
kwanza(Batch one Beneficiaries) Wanafunzi
wa Afya hasa hawa wa M.D imeonekana
wamepata Meals and Accomodation pekee
ambapo;
BS= 0
TUITION= 0
FPT 0
SFR 0
RESEARCH 0
So, Kwa yeyote aliyepata taarifa(Za ndani
kabisa) au mwenye uelewa na hili jambo
anaweza kushare nasi jambo hili( Maana ni
Wanafunzi wengi sana wa M.D)
Natanguliza shukrani