wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Karibu kijiti.Duh!
Bora ukae kimya au ushapuliza
Hii sio tena utani ndugu
Karibu kijiti.Duh!
Bora ukae kimya au ushapuliza
Hii sio tena utani ndugu
watu hadi leo wengije hatuna hata hizo nyumba za kupanga, bora huyo dogo wake kajitahidi aache kabisa utelezi 😀😀😄😄 Cha ajabu meneja wa makampuni ameona hio nj pesa mingi Sana mzee.Anacheza na kupuliza huyu mkuu 😄😄
Ushauri popoteMambo ya familia yenu unaletaje humu? Familia yenu haina wazee wa kuongea naye?
Ukimlinda njoo kwangu,mshahara elfu 50 per month na nautunza mpaka unakutana na mwingineSASA je?
Usikereke na yajayo utapambana na nayo kwa akili hii hii unayopambana na ya sasa.Mambo ya familia yenu unaletaje humu? Familia yenu haina wazee wa kuongea naye?
Nahisi mpuuzi ni wewe mkuu. Mtu mzima hapangawi matumizi. kama mtu keshafika umri wa kuweza kufanya kazi na kupata mshahara ina maanisha anajua nini hasa ni muhimu kwake.Ushauri wa Kipuuzi
chini ya hapo ndio maana inamuuma
Ngoja afaidi ujana kwanza ili miaka ya mbele asije kurudia stageMdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
kabisaWatu wanalipwa mshahara wa laki mbili kwa mwezi na wanajenga ndo ujue kujenga ni neema za Mungu siyo kila mtu anaweza akawa na akili hiyo
Akati alikua anahonga tu kablaaNa akija oa utasema mkewe kampa limbwata....nyieeee