Recent content by Fechi

  1. F

    NIDA Arusha utendaji kazi mmbovu

    Office ya NIDA Arusha hapo manispaa, ID gani zinatengenezwa mwaka mzima? Kibaya ukienda kuomba namba ili ukaprocess passport hupati msaada. Wanakwambia leta invitation letter ya nchi unayotaka kusafiri. Hii ni kazi ya immigration au NIDA? ID mcheleweshe then kutoa number nako ni kwa urasimu...
  2. F

    Utafiti waonyesha wanaume wanaopenda magari makubwa wana idara za ndani ndogo

    Wivu tu, sio reseach!! Kwenye movie ya ”Mrs Doubtfire" mpenzi wa wife alipokuja home for the first time na alikuwa anendesha gari "kubwa". Mrs doubtfire kwa hasira akasema "men with big cars, have small d..k"
  3. F

    Naumia sana; nifanyeje?

    Hahaaa. We noma!
  4. F

    Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo na Akili yako!

    Chocolate yenye manufaa zaidi mwilini ni dark chocolate. Lakini chocolate yoyote ina fat na caffein kwa hiyo matumizi yake yawe moderate. Shoppers supermarket dar wanauza dark chocolates aina mbalimbali
  5. F

    Shemu atamuua sister, nifanyaje?

    Ulikosea tangu siku ya kwanza! eti tunakunywa na totoz zetu...ushemeji gani usiokuwa na adabu? Wewe ndio utamuua dada yako
  6. F

    Mhudumu wa Mochuari "amchimba mkwara" waziri

    Kuna more than 1000 ways to die!!!
  7. F

    Rais Kikwete aiomba China kusaidia kupanga miji ya Tanzania

    2014 ndio tumeanza hivi? Kasi zaidi katika kupitisha bakuli!! :nono: Mungu aturehemu
  8. F

    Marriage for revenge

    Forgiveness is for yourself, lady!. Jamaa hana hata habari ya chuki uliyonayo, ana amani na furaha wewe unakufa na hasira. Life is too short. Shimo unalochimba utatumbukia mwenyewe, Karma is a bi*ch!
  9. F

    Mandela Funeral: Live updates

    Kaunda kanichekesha, kamrefer Kikwete kama "this young man from Tanzania"
  10. F

    HATARI:Samaki waliokufa waelea ziwa victria na wanauzwa sokoni

    Thanks for info. Kesho ilikuwa niende Kamanga Ferry kujibebesha ndoo ya samaki ya kurudi nao Dar. Acha nichunguze nisije beba sumu..
  11. F

    Madaktari wameshauri akatwe miguu

    Pole. Nenda MOI na fanya utafiti wa kutosha kabla ya kutoa consent
  12. F

    Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

    I am speechless! May the Lord console the family
  13. F

    Usimkopeshe ndugu au rafiki wa karibu fedha

    Ila wakopaji wasiorudisha wanakera sana, huwa wanaona wao ndio wenye shida mkopeshaji hana shida na hiyo hela yake. Nina rafiki kaingia mtini mpaka urafiki umekufa kisa hela ndogo tu. Siku hizi nimejifunza kusema "sina" au kutoa kiasi kidogo cha "potelea mbali" ingawa unaoana kabisa mtu haamini...
  14. F

    Mke wangu hana hobby ya kitu chochote

    Hizi comments zimenivunja mbavu, kha! sijui nina Obby ya kucheka!
  15. F

    Mchumba wake amezimia mara mbili toka asubuhi, sababu amembwambia kama mimba haitapatikana , ndoa ak

    Majanga kidogo!! Anaweza kupata ujauzito na mimba ikatoka au mtoto akafa (God forbid) lakini huo ndio ukweli watoto ni majaliwa. Huyo dada kama ana akili akizinduka atimue mbio, hakuna mume hapo. Atazimia maisha yake yote!!
Back
Top Bottom