Shemu atamuua sister, nifanyaje?

Shemu atamuua sister, nifanyaje?

wanawake wengn huwa wajinga ukimwambia naye atakuja kukutaja akibanwa na jamaa alafu jamaa atakuona snich,mwanamke n mwanamke2 nina experience nao kaka
 
Ulichoniudhi ni kushirikiana na shemejiyo kwenye mambo hayo, otherwise hutakiwi kujihusisha na mapenzi ya watu, mwache dada yako ajionee mwenyewe, inawezekana alimpendea huo huo ukicheche, kwa hiyo kaa mbali.
 
Ujue wanawake wengi hawajui kuweka siri
ni lazima atamwambia tu mumewe siku wakipatana.

Yani cku zote upo kimya duuuh,siku ukimuona na totos mtonye dada ako aje afumanie mwenyewe ila jamaa hakikisha asijue kama umemuona!
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

Ulishakosea hapo pa kuanzisha urafiki naye, hukuweka mipaka. We siku ya kwanza unamkuta na totoz ukachuna mkakaa mnapiga monde? Business as usual?? Daaah mi sipatii picha shemeji yangu nimkute engo tata atakavyombwela mbwela japokua hua tunakaa pamoja viti virefu ila kuna mipaka nimeweka. Hilo lako mkuu piga kimya tu
 
huna maadili,huwezi kunywa pombe na kuchukua vibinti na shemeji yako,na pili masihs ya dadaako na mumewe hayakuhusu kama walivyojuana waache wayamalize wenyewe,wewe kaa mbali na shemejiyo kwani akifumaniwa tuu atakuuwa wewe kwanza
 
kaa ktako funguka kwa shem wako , umwambie kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kupenda totoz kama vile kulepeleka magonjwa kwa mkewe, siku akifumwa na ndoa ndo mwisho , familia itasambaratika hata wewe na yeye urafiki utapotea tu!


uko sahihi kabisaa fanya ivyo
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

Nawewe utamuua nani ndugu? Kwani wote mnakutana viwanja mkiwa na new totozi!
 
undugu uko kwa dada yako na si kwa huyo mpenda totoz...sasa pima kumuokoa ndugu yako ama kuacha baadae uanze kulipia bill za ARV's
 
Naona kwa jinsi ulivyo jieleza, huenda shem kavua toto lako. Hasira unaificha kidogo lakini kengele ilisha lia. Amua kumtonya dadako pale unapohakiki kuwa yupo ndani ya guest. Utafanikiwa mawili, umelipa kisasi na umemweza mwizi wako.

Kwanza muulize yeye ana mke?maana asike ivunja ndoa ya dada yake
 
huna maadili,huwezi kunywa pombe na kuchukua vibinti na shemeji yako,na pili masihs ya dadaako na mumewe hayakuhusu kama walivyojuana waache wayamalize wenyewe,wewe kaa mbali na shemejiyo kwani akifumaniwa tuu atakuuwa wewe kwanza

umenena kaka; jamaa kauzu kweli kweli.
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

Ukimweleza dadako atakuskiza afu atamzushia valangati shemejio. Kama shemejio ni mjanja atamuacha agombe hadi nyongo yote imtoke, akimaliza atamwomba mswamaha mkewe, na kama wanapendana kidhati dadako atamfanyia mswamaha mumewe. Watakaa pamoja kutafakar chanzo cha tatizo, wakishaafikiana wataendelea na mapenzi yao kama mwanzo au zaidi. Afu watakugeuzia kibao hutoamini! Usishangae shemejiyo akadai ni wewe ulomwingiza katika hiyo tabia. Na dadako ataamini maana atasema mumewe hakuwa hivyo, na pia pengine anakujua vizuri we ndugu yake kuwa ni tabia yako. Hapatatosha.

Ushauri: Hilo onyo la kuwa atamuua dadako mwambie mwenyewe huyo shemejiyo. Kaeni chini shaurianeni juu ya tabiya hiyo. Hicho unachodhani kitampata shemejiyo kwa tabia yake mbaya kitakupata wewe pia maana tabiya yenu moja, je wewe wataka kufa? Basi rekebishaneni na huyo shemejiyo muiwache hiyo tabiya na mkifanya hivyo utamnusuru dadako.
 
Wewe mwenyewe umeshakiri kuwa ni mtu wa totoz. Kwani wewe huogopi kumuua mkeo, au hujaoa?
 
There is malice somewhere. You are not telling the whole truth.
 
ila na wewe humpendi dada yako mda wote huo anagawa tamu ya dada kwa wengine unaangalia tu aisee chaliii we si sawa ... acha totoz wewwe kwanza allafu mpe makavu ili muheshimiane
 
ila na wewe humpendi dada yako mda wote huo anagawa tamu ya dada kwa wengine unaangalia tu aisee chaliii we si sawa ... acha totoz wewwe kwanza allafu mpe makavu ili muheshimiane

Mambo ya wanandoa yaacheni kama yalivyo?
 
Wewe na shemeji yako wote mna akili sawa na ndo maana ana uwezo wa kuwa na mwanamke yoyote mbele yako kwa vile ana uhakika huwezi na wala hutathubutu kulalamika kwa kuwa mko sawa kiakili na matendo.
So anza kwanza kwa kubadilika kiabia then yeye atambue ndo ataanza kwa kukuheshimu na atabadilika.
Pia acha kuwa nae karibu uuvunje huo urafiki ubaki ushemeji
 
wacha kuogopa wajibu dada? bila hivyo network yako ni ndogo sana;
utakosa mashemeji, wifi, mama mkwe, baba mkwe na watoto.

kwa namna hii ya kaka kuona dada analiwa tamu yake inaumiza sana loh!!!!!! any way let me try mmh
 
Ulikosea tangu siku ya kwanza! eti tunakunywa na totoz zetu...ushemeji gani usiokuwa na adabu? Wewe ndio utamuua dada yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom