yoelisahe
Member
- Jul 23, 2013
- 72
- 21
Ndugu zanguni,
Nimeamini unapomkopesha ndugu au rafiki fedha, nikujiletea uadui,au chuki labda uamua kumpa.
Imenitokea mimi kuna ndugu yangu alinikopa fedha, na kuniambia atairudisha mwisho wa mwezi,nilimweleza sina fedha kwa kipindi hicho, ila kwakuwa alinieleza anashida muhimu nikaamua kutoa fedha za mchango wa harusi ya watu kwa sababu nilikuwa nazihifadhi.
Nilimweleza kabisa fedha niliyompa haikuwa yangu bali ni michango ya harusi,hivyo mwisho wa mwezi ukifika airejeshe.
Nimeamini unapomkopesha ndugu au rafiki fedha, nikujiletea uadui,au chuki labda uamua kumpa.
Imenitokea mimi kuna ndugu yangu alinikopa fedha, na kuniambia atairudisha mwisho wa mwezi,nilimweleza sina fedha kwa kipindi hicho, ila kwakuwa alinieleza anashida muhimu nikaamua kutoa fedha za mchango wa harusi ya watu kwa sababu nilikuwa nazihifadhi.
Nilimweleza kabisa fedha niliyompa haikuwa yangu bali ni michango ya harusi,hivyo mwisho wa mwezi ukifika airejeshe.