Mke wangu hana hobby ya kitu chochote

Mke wangu hana hobby ya kitu chochote

Ok.mwalimu wa level gani?shule ya msingi,secondary etc?umri wenu nani mkubwa yeye ama wewe?mmetofautiana miaka mingapi?samahani kukuuliza,tupo kwa kushauriana zaidi,

Mwalimu wa secondary, nimempita miaka 3 mkuu
 
kumbe yeye anapenda kuona watoto wameoga na wameshiba
Jambo ambalo ni Jema sana, Kuliko angependa kutoka nje ya ndoa

Mshukuru Mungu aliekupa Mke Mwema
 
Kwa kazi aliyonayo usishangae sana, na kama ni primary school basi hali inakua mbaya zaidi! unavyomuona ni mwanamke anaejiamini? na jee kiwango chake cha wivu unakionaje? hebu jibu hapa halafu tujaribu kuangalia mengine !!!!

Mimi mwenye huwa namshangaa manake ana wivu wa mapenzi sana..nikichelewa kurudi home simu inaisha chaji naulizwa uko wapi.
 
Ok.hapa watu wengi wametoa ushauri kila mtu wake wapo waliotoa serious na wapo wanaopenda utani,hapa kama kuna mtu aliuliza kwani kabla ya kuoana mlikuwa muda gani kama boyfriend na girlfirend?maana ungeweza kuona hapo hoby za mtu,na kujuana vizuri,sasa kama umekuja kuvijua ndani ya ndoa na unajaribu kuvibadilisha kwa kweli itakuwa ni kazi,mimi na mchumba wangu,yeye ana hobby zake,anapenda kulala sana kitu cha kwanza akiwa yuko nyumbani,kuangalia movies,mimi ni mtu wa ku socialize,bar,out,etc,ila nashukuru ka adapt na mimi na anatoka na mimi mara nyingi kwa vile tunapendana,cha msingi kuelewa hobby za mtu na kuelewana,na kuwa open katika uhusiano ni kitu kizuri,rafiki,kuongea chochote sio kuogopana,ila nitashukuru ukinipa jibu mlijuana muda gani kabla ya kuoana
 

kwa hiyo unataka mke
mpenda disco na outing?
pole bado hujajitambua,huyo ndio mke sasa!!
hao wavaa pedo na kupenda vya ghali wasikufanye
umuone mkeo wa ajabu,utakujaga kujuta!!
 
Ulivyomwoa alikuwa nayo??iweje utuulize ushamweka ndani ama unata tumfundishe obi.mikel
 
Kwanza niwatakie lunch njema. Kabla hatujaoana aliniorodheshea hobbies zake kama kusafiri, kuangalia tamthilia, movies, usafi wa ndani na mazingira ya nje, outing. Tumeingia kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa hayuko interested na kitu chochote. Jumatatu hadi ijumaa yuko busy kazini. Jumamosi anaenda sokoni kufanya shopping. Jumapili kwenye ibada. Nikimuliza ni wimbo gani anaupenda uwe wa dini au kidunia hajui manake hapendi kuangalia hata tv, hata taarifa ya habari huwa namlazimisha. Hajui kujiremba anavaa kawaida sana. Nikimwambia outing anasema bora hiyo hela tununue chakula tupike hapa nyumba. Hata usafi wa nyumba sio wa kiviile saana. Yeye akiona watoto wameoga wameshiba ndo starehe yake basi, hata kuwatembelea marafiki huwa namlazimisha. Nimejaribu kumuliza hana jibu...anaona kama namuonea na siyo kwamba anachoka sana iwe ndo sababu kwani msichana wa kazi tunae. Na sio kwamba tuna umri mdogo hapana, tulioana tukiwa na umri wa kuitwa mama na baba. NISHAURINI NIMESHINDWA KUMWELEWA HUYU MKE WANGU

Hivyo vitu unavyosema hafanyi ni very unnecesary wat matters ni kwamba anakupenda anakutimizia mahitaji yako......sa hivyo vingine unalalamika bure coz hata vicpokuwepo bado maisha yataendelea...
 
Hizi comments zimenivunja mbavu, kha! sijui nina Obby ya kucheka!
 
Duh,ila kwa upande mwingine jamaa anaboreka, anataman awe anatoka na mkewake, waenjoy na kurelax,ila ndio hivyo mke haeleweki, so ukiwa na mke wa namna hiyo ya jamaa, sio ishu, unamchoka..na sio kwamba ndio material wife...
 
[h=2]Mke wangu hana obby ya kitu chochote.[/h]
Hiyo hata mke wangu hana!!
 
Kwanza niwatakie lunch njema. Kabla hatujaoana aliniorodheshea hobbies zake kama kusafiri, kuangalia tamthilia, movies, usafi wa ndani na mazingira ya nje, outing. Tumeingia kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa hayuko interested na kitu chochote. Jumatatu hadi ijumaa yuko busy kazini. Jumamosi anaenda sokoni kufanya shopping. Jumapili kwenye ibada. Nikimuliza ni wimbo gani anaupenda uwe wa dini au kidunia hajui manake hapendi kuangalia hata tv, hata taarifa ya habari huwa namlazimisha. Hajui kujiremba anavaa kawaida sana. Nikimwambia outing anasema bora hiyo hela tununue chakula tupike hapa nyumba. Hata usafi wa nyumba sio wa kiviile saana. Yeye akiona watoto wameoga wameshiba ndo starehe yake basi, hata kuwatembelea marafiki huwa namlazimisha. Nimejaribu kumuliza hana jibu...anaona kama namuonea na siyo kwamba anachoka sana iwe ndo sababu kwani msichana wa kazi tunae. Na sio kwamba tuna umri mdogo hapana, tulioana tukiwa na umri wa kuitwa mama na baba. NISHAURINI NIMESHINDWA KUMWELEWA HUYU MKE WANGU

pole sana, kutokuwa na Hobby na kitu chocote nayo ni HOBBY.
 
Kuna watu wana bahati sana..ila hawajui..
 
[h=2]Mke wangu hana obby ya kitu chochote.[/h]
Hiyo hata mke wangu hana!!

Obby.....Hobby doesnt matter.....just take my thread serious as long as i need your advice. Mbona wale watu wanaoandika xaxa instead of sasa mnawaelewa tu, hili linakuchekesha nini mkuu.
 
Marafiki tunao na huwa wanakuja kututembelea nyumbani ila wakitualika tutoke outing wakati mwingine anakubali na kuna wakati akili haimtumi kutoka na huwa hana sababu ya msingi inayomnyima kutoka.

Mie nazani uwe unamtaarisha kiakili kama una mipango ya kutoka mapema labda kuanzia kati ya wiki au wikiendi kabla una suggest kuhusu mtoko, nadhani itamsaidia yeye kujipanga kiakili pia akiwa na ubusy wa kazi na kujiweka kuwa lini atapumzika, saa ngapi ataenda shopping ya chakula etc.

Happy hautoki nje.
 
na siku akiwa na hobby... utajuta kumfahamu!


"wakibadilika huwa hawabadiliki"

 
Umebarikiwa sana, huyo ndiyo mzuri wa kuangalia familia ila na wewe usianze mambo kijogoo utamletea mwezio maradhi
 
Hahahahaaaaa babuuuuu loooh hadi vijiko bar huyo wa namna hiyo balaaa, walau kwenye kupenda kareti najua utakuwa unaogopa asipate ,mbinu za kujihami unapomtunihia misuli au kukupiga kabisa hahahahahaaaaa
mie nna hobby ya kupika na kula.

Aisee, naombe nikuoe kama hutajali.:A S kiss::A S kiss::A S kiss:
 
Kwanza niwatakie lunch njema. Kabla hatujaoana aliniorodheshea hobbies zake kama kusafiri, kuangalia tamthilia, movies, usafi wa ndani na mazingira ya nje, outing. Tumeingia kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa hayuko interested na kitu chochote. Jumatatu hadi ijumaa yuko busy kazini. Jumamosi anaenda sokoni kufanya shopping. Jumapili kwenye ibada. Nikimuliza ni wimbo gani anaupenda uwe wa dini au kidunia hajui manake hapendi kuangalia hata tv, hata taarifa ya habari huwa namlazimisha. Hajui kujiremba anavaa kawaida sana. Nikimwambia outing anasema bora hiyo hela tununue chakula tupike hapa nyumba. Hata usafi wa nyumba sio wa kiviile saana. Yeye akiona watoto wameoga wameshiba ndo starehe yake basi, hata kuwatembelea marafiki huwa namlazimisha. Nimejaribu kumuliza hana jibu...anaona kama namuonea na siyo kwamba anachoka sana iwe ndo sababu kwani msichana wa kazi tunae. Na sio kwamba tuna umri mdogo hapana, tulioana tukiwa na umri wa kuitwa mama na baba. NISHAURINI NIMESHINDWA KUMWELEWA HUYU MKE WANGU


Huwezi kumbadilisha sasa hivi. Ulimpenda akiwa hivyohivyo, na kwa kutumia sifa hizo ukaona ndio wife material. Unataka nini tena. Mbona nyie watu hamna shukurani!
 
Kwanza niwatakie lunch njema. Kabla hatujaoana aliniorodheshea hobbies zake kama kusafiri, kuangalia tamthilia, movies, usafi wa ndani na mazingira ya nje, outing. Tumeingia kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa hayuko interested na kitu chochote. Jumatatu hadi ijumaa yuko busy kazini. Jumamosi anaenda sokoni kufanya shopping. Jumapili kwenye ibada. Nikimuliza ni wimbo gani anaupenda uwe wa dini au kidunia hajui manake hapendi kuangalia hata tv, hata taarifa ya habari huwa namlazimisha. Hajui kujiremba anavaa kawaida sana. Nikimwambia outing anasema bora hiyo hela tununue chakula tupike hapa nyumba. Hata usafi wa nyumba sio wa kiviile saana. Yeye akiona watoto wameoga wameshiba ndo starehe yake basi, hata kuwatembelea marafiki huwa namlazimisha. Nimejaribu kumuliza hana jibu...anaona kama namuonea na siyo kwamba anachoka sana iwe ndo sababu kwani msichana wa kazi tunae. Na sio kwamba tuna umri mdogo hapana, tulioana tukiwa na umri wa kuitwa mama na baba. NISHAURINI NIMESHINDWA KUMWELEWA HUYU MKE WANGU
Mkuu nimeisoma hii post yako na nimekuelewa vizuri
Tatizo ni kwamba vitu ambavyo unamtuhumu navyo mkeo sio vitu vya kuleta huku JM mfano kujiremba, usafi.......
haya ni mambo unayotakiwa kuongea nae wewe mwenyewe
Kama unataka awe anajiremba wewe ndio ungekuwa wa kwanza kumnunulia hivyo vitu ambavyo wewe unafikiri kwamba akivipigilia ataonekana sexy. Kwa vijisababu vyako ambavyo havina mashiko NASIKIA HARUFU YA NYUMBA NDOGO.
ACHA MBWEMBWE NA TULIZANA USIJE UKAMLETEA MTOTO WA WATU UKIMMWI KISA ETI HOBBIES
 
Back
Top Bottom