Habari za majukumu ndugu zangu.
Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu, seheme ya uume inababuka(ni kama mapunye hivi) japo hakuna maumivu wala muwasho wowote.
Nina miezi miwili toka...
Mimi ni kama wewe nimesoma SUA B.sc in Education (Informatics & Mathematics)...vyetu vyangu wamevikubali kuendelea na usaili. Shida hakuna hata msaili mmoja mwenye fani ya IT, wote walijitambulisha kwa majina na taaluma zao. Waliponiambia nieleze Operating system ni nini, nahisi kama...
Mimi nakuunga mkono, ndoa zimekuwa hazina maana tena. Mimi nina miaka 29 lakini sifikirii na sina wazo la kuoa, nina jamaa zangu wa rika yangu ambao ndoa zao bado ni changa...hao jamaa ni mashuhuda jinsi gani ndoa zao zimekuwa ni tatizo. Sio hao tu, hata wale walioko kwenye ndoa zaidi ya miaka...
Mimi mmojawapo, bora nifanye biashara...mshahara 500K baada ya makato, bodi ya mikopo wanapandisha makato kutoka 8% mpaka 15% kwa kujiamlia tu bila kushirikisha wadau. Wacha tukimbie tu ualimu.
Toka nilipomaliza mwaka jana nimekuwa nikilala na vyeti nikisubiri ajira, siasa za ajira zikaanza. Tumekumbatia vyetu huko mjini tukisubiri hiyo miezi miwili iishe tukaambulia kapa, hali ikazidi kuwa ngumu...thamani ya vyeti ikashuka. Nimekimbilia shambani ili nijikwamue kiuchumi na vyeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.