Rhobi1961
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 888
- 681
Lipo mkuu tembelea www.moe.go.tz limetolewa jana jumanne 12:36 mchana.kwenye tovuti ya wizara hilo tangazo halipo
Lipo mkuu tembelea www.moe.go.tz limetolewa jana jumanne 12:36 mchana.kwenye tovuti ya wizara hilo tangazo halipo
Huu sio uzushi mkuu kama una vigezo nenda fasta Internet Cafe na nakala zako zilizo tajwa mwisho ni kesho kutwa.huu ni uzushi wa kiwango cha PhD
Hii habari si ya uongo labda kama ulisoma 'colonial economy'H I I. H A B A R I N I Y A. U O N G O
Lipo nimeliona ingia hapo then shuka chini utaliona mkuu hata mimi Jana nilikua nabisha sana baadae nikaliona aiseeTangazo la mwendokasi, halipo tcu na kama lipo kwa mantiki gani? Hata huko www.moe.go.tz halipo. Inawezekana ajira zimetangazwa ila hili tangazo linatia mashaka
Toka nilipomaliza mwaka jana nimekuwa nikilala na vyeti nikisubiri ajira, siasa za ajira zikaanza. Tumekumbatia vyetu huko mjini tukisubiri hiyo miezi miwili iishe tukaambulia kapa, hali ikazidi kuwa ngumu...thamani ya vyeti ikashuka. Nimekimbilia shambani ili nijikwamue kiuchumi na vyeti nikaacha mjini, kwa sababu hata wakuu wa shule walitunyima kufundisha kwa mda(tempo).Hili ni tatzo lako kwa nini uache vyeti mbali na ulipo?
Mkuu hivi ninavyoandika hapa nimefungua hiyo tovuti hilo tangazo lipo limeweka jana jumanne 13 December 2016 12:36, kama una vigezo changamka acha kulala lala.Tangazo la mwendokasi, halipo tcu na kama lipo kwa mantiki gani? Hata huko www.moe.go.tz halipo. Inawezekana ajira zimetangazwa ila hili tangazo linatia mashaka
Nadhani sasa sio muda wa kuanza kulalamika, wasiliana hata na ndugu na jamaa wa karibu waviscan kisha wakutumie kama soft copy ndipo utume huko huko ulipo.Toka nilipomaliza mwaka jana nimekuwa nikilala na vyeti nikisubiri ajira, siasa za ajira zikaanza. Tumekumbatia vyetu huko mjini tukisubiri hiyo miezi miwili iishe tukaambulia kapa, hali ikazidi kuwa ngumu...thamani ya vyeti ikashuka. Nimekimbilia shambani ili nijikwamue kiuchumi na vyeti nikaacha mjini, kwa sababu hata wakuu wa shule walitunyima kufundisha kwa mda(tempo).
Inawezekana wanatoa kwa awamu, sidhani kama zimesitishwa maana kimsingi walimu hawawezi kutosha maana wengine wanastaafu na wengine wanapungua kutokana sababu nyingine. Chamsingi andaa vyeti, fua begi nk. Soon unaweza kuitwa, usiseme umeshtukizwa.Nakumbuka june ile waalitoa tangazo kukanusha zile tetesi za kusitisha kutoa ajira kwa walimu wa sanaa na biashara mpaka leo tangazo lile lipo tamisemi aya leo kikowapi sasa kumbe tuwe tunaamin kila tetesi sasa
Tutakutana 2020 walah
Sio hayahitajiki lakini wamejaa,kuna shule moja Kahama ina walimu 67 wote ni kiswahili,History nageography,hakuna sayansi hata mmoja
soma taarifa vizuri serikali haikukanusha kuhusu ajira za walimu wa sayansi na hisabati; ilichokanusha ni kule kusambaa kwa taarifa kwamba ajira ni november; ndo ikasema kwamba ajira zikitoka zitatangazwa kwenye vyombo vya habari pamoja na tovuti ya TAMISEMIWalikanusha hii lakini
View attachment 446578
ndio wametoa siku tatusoma taarifa vizuri serikali haikukanusha kuhusu ajira za walimu wa sayansi na hisabati; ilichokanusha ni kule kusambaa kwa taarifa kwamba ajira ni november; ndo ikasema kwamba ajira zikitoka zitatangazwa kwenye vyombo vya habari pamoja na tovuti ya TAMISEMI