yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,882
- 3,298
Hama hapoActually me ni Muoga kwenye mishe za Wadada, especially mke wa mtu. I don't know what Happened, Bt i think shetan wa Humu Jf anataka kuniharibia maisha .
Iko hv, Hv karibun kuna mpangaji flan amekuja na mke wake, kimwonekano jamaa yuko Age haf mke mdogo, Hasa since day one binti amekua akiniangalia sana, macho ya kuibia mengi mno, haf me ckutaka kushoboka kabisa coz naheshim ndoa za watu.
Juzi uvumilivu wa kutazamana ukanishinda, nkadodosha kikaratasi chini chenye namba (Lain haijasajiliwa kwa jina langu).
Binti kaanza kunitafuta sms na call nyingi me naziangalia tyuu, jana asubh kaniona na jamaa hakuepo akanza kulalamika why cpokei sm zake, nkamtel kua cm nliiacha ndan, akasema poa atanichek.
Leo bhana, bint kapiga tena cm ikawa inajikata (I think mtandao). Akatuma sms (Shem mbona unakata sm zangu) nkawaza nimjibu kwa sms Roho ikasita, nlivopiga kumbe cna dakika kwa lain hiyo,.
Ikabidi nitumie lain ingine ya ziada (imesajiliwa jina langu). Duuuuh jamaa si akapokea . ikabidi ni mute, then nkakata, nkaload hafu nkampigia mkajifanya nmekosea namba, jamaa akasema poa.
soon mwamba akanitumia sms kua nsijifanye nimekosea namba, na kanionya niachane na mke wake.
Duuuh wadau, nimetoka job ucku huu nmekuosa aman, ucngiz hamna kabisa yaan .
Naomben ushaur, naliuaje vp hili so