Usaili nafasi ya msimamizi TEHAMA umenivuruga

jnbg

Member
Apr 12, 2016
77
49
Habar za majukumu wanajamvi,

Kama mnavyojua tupo katika kipindi cha usaili wa sensa ktk nafasi mbalimbali. Basi bwana juzi usiku mida ya saa tano kasoro nilitumiwa messege kuwa saa 8.00 am tar 19/7 natakiwa kwenda usaili wa sensa ktk nafasi ya msimamizi wa TEHAMA Kama nilivyoomba.

Bahati mbaya usaili haukufanyika kutokana na waliojitokeza kuwa wachache kutokana na jinsi wasailiwa walivyopata taarifa ya ghafla maana kuna baadhi wanatokea mbali hivyo tukaambiwa turudi siku ya pili(leo tar 20/7/2022) na tukafanya hivyo kadri ya maelekezo.

Kizaazaa kilianza kabla ya kuingia kwenye chumba cha usaili Maana walianza kukagua vyeti kwanza Kama tunaqualify ktk nafasi husika.

Baada ya vyeti vyangu kukaguliwa ilionekana kuwa sina sifa JAPO Mimi ni mhitimu(mwl) wa shahada B.SC.(Education) ktk masomo ya INFORMATICS & MATHEMATICS from Udsm wakidai kuwa Cheti changu kimeandikwa Bachelor Degree of Science(Education) bila hiyo INFORMATICS(TEHAMA) hivyo nimekosa sifa.

Nikaanza kujitetea kwa kuwaoneshea transcript pia nafundisha ICS kwa Zaid ya miaka 5 lakini HAWAJANIELEWA KABISA.

Ndugu ni kweli kwamba sina sifa ktk nafasi hiyo Kama walivyodai?

Nawasilisha kwenu
 
Habar za majukumu wanajamvi,,,,,

Kama mnavyojua tupo katika kipindi cha usaili wa sensa ktk nafasi mbalimbali.Basi bwana juzi usiku mida ya saa tano kasoro nilitumiwa messege kuwa saa 8.00am tar 19/7 natakiwa kwenda usaili wa sensa ktk nafasi ya msimamizi wa TEHAMA Kama nilivyoomba.Bahati mbaya usaili haukufanyika kutokana na waliojitokeza kuwa wachache kutokana na jinsi wasailiwa walivyopata taarifa ya ghafla maana kuna baadhi wanatokea mbali hivyo tukaambiwa turudi siku ya pili(leo tar 20/7/2022) na tukafanya hivyo kadri ya maelekezo.
Kizaazaa kilianza kabla ya kuingia kwenye chumba cha usaili Maana walianza kukagua vyeti kwanza Kama tunaqualify ktk nafasi husika.
Baada ya vyeti vyangu kukaguliwa ilionekana kuwa sina sifa JAPO Mimi ni mhitimu(mwl) wa shahada B.SC.(Education) ktk masomo ya INFORMATICS & MATHEMATICS from Udsm wakidai kuwa Cheti changu kimeandikwa Bachelor Degree of Science(Education) bila hiyo INFORMATICS(TEHAMA) hivyo nimekosa sifa.Nikaanza kujitetea kwa kuwaoneshea transcript pia nafundisha ICS kwa Zaid ya miaka 5 lakini HAWAJANIELEWA KABISA.
Ndugu ni kweli kwamba sina sifa ktk nafasi hiyo Kama walivyodai??
Nawasilisha kwenu
Pole ndg..... Kisicho riziki hakiliki😁
 
Mimi ni kama wewe nimesoma SUA B.sc in Education (Informatics & Mathematics)...vyetu vyangu wamevikubali kuendelea na usaili. Shida hakuna hata msaili mmoja mwenye fani ya IT, wote walijitambulisha kwa majina na taaluma zao. Waliponiambia nieleze Operating system ni nini, nahisi kama hawakuridhika na jibu langu...ni kama walitegemea specific definition ya OS..
 
Mimi ni kama wewe nimesoma SUA B.sc in Education (Informatics & Mathematics)...vyetu vyangu wamevikubali kuendelea na usaili. Shida hakuna hata msaili mmoja mwenye fani ya IT, wote walijitambulisha kwa majina na taaluma zao. Waliponiambia nieleze Operating system ni nini, nahisi kama hawakuridhika na jibu langu...ni kama walitegemea specific definition ya OS..
Sasa unatoaje technical definition kwenye shughuli ya siasaa

Wewe sema window 7, 8, 10, 11
 
Mimi ni kama wewe nimesoma SUA B.sc in Education (Informatics & Mathematics)...vyetu vyangu wamevikubali kuendelea na usaili. Shida hakuna hata msaili mmoja mwenye fani ya IT, wote walijitambulisha kwa majina na taaluma zao. Waliponiambia nieleze Operating system ni nini, nahisi kama hawakuridhika na jibu langu...ni kama walitegemea specific definition ya OS..
Hata Hawa wa kwangu nadhani hakuna mwenye fani ya IT maana waling'ang'ania juu ya Cheti kuwe kumeandikwa DIPLOMA/DEGREE of IT/Computer, vya kwenye Transcript hawavielewi, wanasema sijasoma IT.
 
Hata Hawa wa kwangu nadhani hakuna mwenye fani ya IT maana waling'ang'ania juu ya Cheti kuwe kumeandikwa DIPLOMA/DEGREE of IT/Computer,,,vya kwenye Transcript hawavielewi,,,,,wanasema sijasoma IT.
Ila tangazo lilisema Angalau diploma in IT maaana yake mtu aliyespecialize kwenye IT
 
Hata Hawa wa kwangu nadhani hakuna mwenye fani ya IT maana waling'ang'ania juu ya Cheti kuwe kumeandikwa DIPLOMA/DEGREE of IT/Computer,,,vya kwenye Transcript hawavielewi,,,,,wanasema sijasoma IT.
Yeah kama walishindwa kutambua informatics ni nini, ujue hawakuwa na fani ya IT
 
Hii ishu wengi wanalalamika hata huku kwetu wilaya ya mbozi wengi wameondolewa kwa kigezo hicho..wanataka waliospecialize kwenye IT$science
 
Kama NBS walirudisha jina lako basi waliona unafaa, ndiyo tatizo la kufanyiwa usahili na elimu ndogo na walimu wa mchongo, wao wanapeana nafasi kwa kujuana ila wewe wamekubania tu, hao wahuni.
 
Habar za majukumu wanajamvi,,,,,

Kama mnavyojua tupo katika kipindi cha usaili wa sensa ktk nafasi mbalimbali.Basi bwana juzi usiku mida ya saa tano kasoro nilitumiwa messege kuwa saa 8.00am tar 19/7 natakiwa kwenda usaili wa sensa ktk nafasi ya msimamizi wa TEHAMA Kama nilivyoomba.Bahati mbaya usaili haukufanyika kutokana na waliojitokeza kuwa wachache kutokana na jinsi wasailiwa walivyopata taarifa ya ghafla maana kuna baadhi wanatokea mbali hivyo tukaambiwa turudi siku ya pili(leo tar 20/7/2022) na tukafanya hivyo kadri ya maelekezo.
Kizaazaa kilianza kabla ya kuingia kwenye chumba cha usaili Maana walianza kukagua vyeti kwanza Kama tunaqualify ktk nafasi husika.
Baada ya vyeti vyangu kukaguliwa ilionekana kuwa sina sifa JAPO Mimi ni mhitimu(mwl) wa shahada B.SC.(Education) ktk masomo ya INFORMATICS & MATHEMATICS from Udsm wakidai kuwa Cheti changu kimeandikwa Bachelor Degree of Science(Education) bila hiyo INFORMATICS(TEHAMA) hivyo nimekosa sifa.Nikaanza kujitetea kwa kuwaoneshea transcript pia nafundisha ICS kwa Zaid ya miaka 5 lakini HAWAJANIELEWA KABISA.
Ndugu ni kweli kwamba sina sifa ktk nafasi hiyo Kama walivyodai??
Nawasilisha kwenu
Wewe ni mwalimu by professional na sio IT. Hauna sifa ya kuomba kazi inayohusi ICT sehemu yeyote isipokua katika upande wa elimu. Hata mtu mwenye certificate ya ICT anakushinda vigezo hapo. Labda kuwe na watu wasiojitosheleza wenye sifa za IT hapo wanaweza kukuchukua kutokana tu na upungufu wa wataalam husika.

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom