Unaweza kupata hayo maradhi hata kupitia vyoo vya kushare hasa bar zinazokusanya watu wengi.yawezekana lakini magonjwa ya sehemu hizo mara nyingi chanzo ni ngono
Sawa mkuu ila kwa maelezo yake chanzo itakua mbususuUnaweza kupata hayo maradhi hata kupitia vyoo vya kushare hasa bar zinazokusanya watu wengi.
Chukua majani ya mlongelonge, changanya na mchuzi wa limau na pilipili kichaa na kitunguu swaumu nawa kwa sabuni kisha pakaa hiyo mixture usiku na asubuhi kwa siku 3 mfulurizoHabari za majukumu ndugu zangu.
Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu, seheme ya uume inababuka(ni kama mapunye hivi) japo hakuna maumivu wala muwasho wowote.
Nina miezi miwili toka nishiriki ngono zembe(unprotected sex) naomba ushauri wenu wandugu.
Asante.
KAZI ya pilipili kichaa ni ipi hapo mkuu👉🏿🤣🤣Chukua majani ya mlongelonge, changanya na mchuzi wa limau na pilipili kichaa na kitunguu swaumu nawa kwa sabuni kisha pakaa hiyo mixture usiku na asubuhi kwa siku 3 mfulurizo
KomaaaaHabari za majukumu ndugu zangu.
Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu, seheme ya uume inababuka(ni kama mapunye hivi) japo hakuna maumivu wala muwasho wowote.
Nina miezi miwili toka nishiriki ngono zembe(unprotected sex) naomba ushauri wenu wandugu.
Asante.




Hata mimi sijuiKAZI ya pilipili kichaa ni ipi hapo mkuu👉🏿🤣🤣
Hapana mkuuHivi karibuni umeugua ugonjwa wa malaria na kumeza metakelfin/elfin?
NashukuruTafuta dawa ya fungus inaitwa sonaderm kama 5000/au 4000/ utapaka KILA Baada ya kuoga huko ikulu paka Hadi huo mfuko wa gololi zinazoning'nia!!
Kutwa mara mbili au TATU!
Uhakika
Pilipili tena mkuu....Chukua majani ya mlongelonge, changanya na mchuzi wa limau na pilipili kichaa na kitunguu swaumu nawa kwa sabuni kisha pakaa hiyo mixture usiku na asubuhi kwa siku 3 mfulurizo
Hili siyo jukwaa la jokes mkuu.Chukua majani ya mlongelonge, changanya na mchuzi wa limau na pilipili kichaa na kitunguu swaumu nawa kwa sabuni kisha pakaa hiyo mixture usiku na asubuhi kwa siku 3 mfulurizo
Nani kasema joke hiyo, nimeona watu wanatumia hiyo kwa magonjwa ya ngozi wanaponaHili siyo jukwaa la jokes mkuu.