Baba wa Mbinguni wanaume wote
Tusio na connection yoyote.
Tusio na kazi maalum
Tusio na urithi wa kurithi
Tunaotegemewa na familia hadi ukoo
Tusio na uhakika wa tunachokifanya
Tunaopitia nyakati ngum sana
Tunakuomba utupe ujasiri moyo na matumaini ya kupambana bila kuchoka .Enyi wanaume...
Wanahitajika mabinti wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya kusambaza chakula kwa wateja
Location : Kariakoo
Mshahara maeleano
Umri wowote ila awe anajituma
Kama upo tayari zama inbox tuyajenge
🤣🤣🤣 wangu katimuliwa kazi ilyokua inampa jeuri sa iv kawa mpole kama kobe .. na namwekea vikwazo kila pande asipaye kazi kwanza kwa ss mpaka akili imkae sawa😅 nilicheka sana
Wiki iliyopita kwa mara ya kwanza niigata na nyoka nikiwa nyumbani ... nyoka mdogomweusi hivi tumbo jeupe ...yule mjinga nilimuua baada ya kunigonga ila ana sumu kali sna nilienda hospital ila hawakua na ant venom usiku ule hadi kufika asubuhi misuli ya mwili mzima ilikua inauma huku guu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.