Recent content by Fazz

  1. Fazz

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani: Nashindwa kuchangamana na watu

    Mkuu ww km mm tu marafk zetu ni cm
  2. Fazz

    JamiiForums Tanzania Tunampa Bongo Zozo hadi Jumatatu aturudishie hela zetu

    Ila ingepanda usingempa hata asant imeshuka unamtafutia lawama 😂 😂
  3. Fazz

    JamiiForums Tanzania Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa knockout (KO) dhidi ya mpinzani wake, Eribo kutoka Nigeria, baada ya kumaliza pambano mapema raundi ya pili

    Tumesubir hadi usiku wa manage afu raund mbili tu kumbafuu
  4. Fazz

    JamiiForums Tanzania Eeh Mwenyezi Mungu wasaidie wanaume wote tunaokula kwa jasho

    Baba wa Mbinguni wanaume wote Tusio na connection yoyote. Tusio na kazi maalum Tusio na urithi wa kurithi Tunaotegemewa na familia hadi ukoo Tusio na uhakika wa tunachokifanya Tunaopitia nyakati ngum sana Tunakuomba utupe ujasiri moyo na matumaini ya kupambana bila kuchoka .Enyi wanaume...
  5. Fazz

    JamiiForums Tanzania Dagaa zawa Mboga ya Christmas 2025

    😂 we mzee hizi picha unatoaga wap
  6. Fazz

    JamiiForums Tanzania Christmas hii: Sema lolote kuhusu ukanda wa gaza

    Kwa siku za karibuni wavaa granda ni wengi kuliko wananHI ....pia hawa ndo wale waliotambulishq hela yao 😊
  7. Fazz

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Na pia kama tukipata maelekezo namna ya kutumia intenet ya bure kupitia app yaturnel httn kule playstore itapendezazaidi
  8. Fazz

    JamiiForums Tanzania Wakuu tuwe makini lock milango kabla ya kuanza kuendesha gari

    Tell her to go to hell
  9. Fazz

    JamiiForums Tanzania Ajira ajira

    Wanahitajika mabinti wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya kusambaza chakula kwa wateja Location : Kariakoo Mshahara maeleano Umri wowote ila awe anajituma Kama upo tayari zama inbox tuyajenge
  10. Fazz

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani kwa sasa unaweza kuusikiliza kwa masaa hata 7 non-stop

    Mangwea ft mirror _ alma
  11. Fazz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia muhimu za kufuata unapopitia misukosuko ya kifedha, kifamilia na ukosefu wa ajira

    Shukrani sana kwa andiko na nyie mliopo makazini msijisahau
  12. Fazz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wataalamu wa mahusiano imekaaje hii?

    Kataaaaa ......
  13. Fazz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dawa ya mwanamke akianza ujeuri katika ndoa

    Ila watu hamlaliii😵
  14. Fazz

    JamiiForums Tanzania Nimemfungulia wife biashara ndogo tu! Ila naona kama ishaanza kumpa jeuri Najutaaa

    🤣🤣🤣 wangu katimuliwa kazi ilyokua inampa jeuri sa iv kawa mpole kama kobe .. na namwekea vikwazo kila pande asipaye kazi kwanza kwa ss mpaka akili imkae sawa😅 nilicheka sana
Back
Top Bottom