Recent content by Fazz

  1. Fazz

    Tunampa Bongo Zozo hadi Jumatatu aturudishie hela zetu

    Ila ingepanda usingempa hata asant imeshuka unamtafutia lawama 😂 😂
  2. Fazz

    Eeh Mwenyezi Mungu wasaidie wanaume wote tunaokula kwa jasho

    Baba wa Mbinguni wanaume wote Tusio na connection yoyote. Tusio na kazi maalum Tusio na urithi wa kurithi Tunaotegemewa na familia hadi ukoo Tusio na uhakika wa tunachokifanya Tunaopitia nyakati ngum sana Tunakuomba utupe ujasiri moyo na matumaini ya kupambana bila kuchoka .Enyi wanaume...
  3. Fazz

    Dagaa zawa Mboga ya Christmas 2025

    😂 we mzee hizi picha unatoaga wap
  4. Fazz

    Christmas hii: Sema lolote kuhusu ukanda wa gaza

    Kwa siku za karibuni wavaa granda ni wengi kuliko wananHI ....pia hawa ndo wale waliotambulishq hela yao 😊
  5. Fazz

    PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Na pia kama tukipata maelekezo namna ya kutumia intenet ya bure kupitia app yaturnel httn kule playstore itapendezazaidi
  6. Fazz

    Ajira ajira

    Wanahitajika mabinti wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya kusambaza chakula kwa wateja Location : Kariakoo Mshahara maeleano Umri wowote ila awe anajituma Kama upo tayari zama inbox tuyajenge
  7. Fazz

    Njia muhimu za kufuata unapopitia misukosuko ya kifedha, kifamilia na ukosefu wa ajira

    Shukrani sana kwa andiko na nyie mliopo makazini msijisahau
  8. Fazz

    Wataalamu wa mahusiano imekaaje hii?

    Kataaaaa ......
  9. Fazz

    Dawa ya mwanamke akianza ujeuri katika ndoa

    Ila watu hamlaliii😵
  10. Fazz

    Nimemfungulia wife biashara ndogo tu! Ila naona kama ishaanza kumpa jeuri Najutaaa

    🤣🤣🤣 wangu katimuliwa kazi ilyokua inampa jeuri sa iv kawa mpole kama kobe .. na namwekea vikwazo kila pande asipaye kazi kwanza kwa ss mpaka akili imkae sawa😅 nilicheka sana
  11. Fazz

    Mjue boomslang, Nyoka hatari sana wa kijani

    Wiki iliyopita kwa mara ya kwanza niigata na nyoka nikiwa nyumbani ... nyoka mdogomweusi hivi tumbo jeupe ...yule mjinga nilimuua baada ya kunigonga ila ana sumu kali sna nilienda hospital ila hawakua na ant venom usiku ule hadi kufika asubuhi misuli ya mwili mzima ilikua inauma huku guu...
Back
Top Bottom