Eeh jamani ndugu zangu yoyote mwenye kujua chimbo la bei rahisi la bando tafazali share hapa .nilikua natumia bando la halotel 10 gb 10 sasa silipati tena inasekana line nyingi zimepigwa pini please mwenye chimbo msaada
Baba wa Mbinguni wanaume wote
Tusio na connection yoyote.
Tusio na kazi maalum
Tusio na urithi wa kurithi
Tunaotegemewa na familia hadi ukoo
Tusio na uhakika wa tunachokifanya
Tunaopitia nyakati ngum sana
Tunakuomba utupe ujasiri moyo na matumaini ya kupambana bila kuchoka .Enyi wanaume...
Wanahitajika mabinti wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya kusambaza chakula kwa wateja
Location : Kariakoo
Mshahara maeleano
Umri wowote ila awe anajituma
Kama upo tayari zama inbox tuyajenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.