Mwenye kujua chimbo la bando tafadhali

Mwenye kujua chimbo la bando tafadhali

Fazz

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2019
Posts
635
Reaction score
1,456
Eeh jamani ndugu zangu yoyote mwenye kujua chimbo la bei rahisi la bando tafazali share hapa .nilikua natumia bando la halotel 10 gb 10 sasa silipati tena inasekana line nyingi zimepigwa pini please mwenye chimbo msaada
 
Eeh jamani ndugu zangu yoyote mwenye kujua chimbo la bei rahisi la bando tafazali share hapa .nilikua natumia bando la halotel 10 gb 10 sasa silipati tena inasekana line nyingi zimepigwa pini please mwenye chimbo msaada
Ukiwa Airtel na tena ukawa umejiunga na bando za SME (Small and Medium-sized Enteprises) unapata 22GB kwa 20,000 TShs valid kwa mwezi mmoja. Kujiunga *149*91#
 
Eeh jamani ndugu zangu yoyote mwenye kujua chimbo la bei rahisi la bando tafazali share hapa .nilikua natumia bando la halotel 10 gb 10 sasa silipati tena inasekana line nyingi zimepigwa pini please mwenye chimbo msaada
Unapotoshwa unapotosheka why!

Line hii ninayoongelea ni ya 'halotel 10'.

Mitandao mingine wazinguaji, sidhani kama wana msaada kama Halotel.

Halotel hoyeee!
 
Back
Top Bottom