PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kuna Zello Maria Sarungi alikuwa anaipush sana.

D9 Usitoke Kinyonge.

Inabidi tupate Apps ambazo hazihitaji Data kwa ajili ya mawasiliano yaani only network hiyo hiyo isaidie kutuma kama RCS hivi.
 
🧱 4. NJIA ZA BACKUP IWAPO HTTP, VPN, NA DNS ZIMEKATWA

Kama shutdown ni kali sana, tumia:
A. Intra (Google)
1. Play Store → Pakua Intra
2. Washa
3. Ina bypass DNS blocking
B. Mesh Networks bila internet
Kwa mawasiliano kati ya simu na simu:
Briar
Bridgefy

Zinafanya kazi bila internet (Bluetooth & WiFi Direct).
Mkuu, fafanua zaidi hapa.
 
Kuna Zello Maria Sarungi alikuwa anaipush sana.

D9 Usitoke Kinyonge.

Inabidi tupate Apps ambazo hazihitaji Data kwa ajili ya mawasiliano yaani only network hiyo hiyo isaidie kutuma kama RCS hivi.
Hiyo Zello umefanikiwa kuitumia?
 
Mkuu hivi wakizima internet kama mwanzo si hata VPN hazitakua zikifanya kazi??
 
Na pia kama tukipata maelekezo namna ya kutumia intenet ya bure kupitia app yaturnel httn kule playstore itapendezazaidi
 
Njia pekee ni kuwa satellite internet.

Njia ya Pili vijana wetu wa vyuoni wangeweza kutengeneza few satellites uplinks.

Kwa wanaojua Programming, unaweza ukatumia zile development boards kama Raspberry pi, au Arduino, NK. Ukiwa satellite transmitter unaweza kutuma data kwenda kwenye specific satellites... Na mtu mwenye ground station popote duniani as long as ana access na satellite then lazima apate taarifa.

So flow ya data inakuwa hivi. System yako ya kutuma data kwenye satellite inapokea data kwa SMS au Bluetooth then ina forward kwenda kwenye satellite
 
Uzi wa dhahabu huu, bado nafanya utafiti nijue maelezo ya kuscreenshot kwa matumizi ya siku ya tukio, maama wakizima hakuna wa kumuuliza
 
Back
Top Bottom