Dagaa zawa Mboga ya Christmas 2025

Dagaa zawa Mboga ya Christmas 2025

Tena dagaa wenyewe ni ghali sana, wanakula wenye bajeti ya kutosha kununua. Kula dagaa siku hizi ni ufahari kilo ni elfu sita hadi saba. Mwendo ni matembere, mchicha, kisamvu, chainizi na harage
 
Kwako ndo wanachambua dagaa, baada ya kumaliza mlivyoiba tarehe 29 okt,

Halafu hyo haikuwa ajenda yenu, ajenda yenu ilikuwa KUANDAMANA LEO..
mbona hamjajitokeza tuwaone kidogo enyi nyumbu?

HALAFU NIMEJARIBU KUFUATILIA THREAD ZAKO NYINGI NI KAMA ZINAJIRUDIA KWA MAJIRA KAMA HAYA
February 24, 2025.. your reasoning capability and reasoning capacity is below average
 
Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu

View attachment 3520300
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)

Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
Usiwadharau dagaa wamejaa protein zenye faida mwilini. Achana na kasumba za kula pilau ya kuku siku za sikukuu.
 
Back
Top Bottom