Pole sana kakangu, huyo ameshapoteza mapenzi na wewe kwa hayo mafanikio ambayo wewe ndo sababu. Jaribu kukaa naye chini na kumwelekeza na ikiwezekana mkumbushe mlikotoka. Ikishindikana hapo naona mambo ni magumu.
Sidhani kama kumwacha ilikuwa ni busara. Naona wangejaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo badala ya kulikimbia. Ukisikia kupendana katika shida na raha ndo huko. Sijui kama ni ugonjwa au la ila ni vizuri angeenda hospitali wataalam wangeweza kujua tatizo nini na kumpa ufumbuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.