Recent content by Fay2011

  1. F

    Teh teh teh

    teh! teh! teh!
  2. F

    Mwalimu v/s nesi

    Wote wanafaa.
  3. F

    Natafuta Mchumba/Mume

    Wapendwa wana JF kama nilivyojitokeza kutafuta mchumba, sasa napenda kuwapa taarifa kuwa mchumba nimemshapata humu humu. Nawashukuru sana.
  4. F

    Jamaa atongoza mkewe bila kujijua

    Hii ni hadithi ya kutunga
  5. F

    Wanawake mlio na wanaume acheni uchoyo waoneeni huruma basi wasio na wanaume

    Hope u are not serious, hao wanawake wengine na wao si watafute waume zao? Kwa nini wachangie waume wa wenzao?
  6. F

    Nashindwa kuamua jamanii!

    Dalili ya mvua ni mawingu, endelea tu na maisha yako huyo anaonekana hakuhitaji tena.
  7. F

    Thanx God....17 yrs...Still getting stronger

    Hongera sana na Mungu azidi kuwajalia maisha yenye furaha daima.
  8. F

    Deeply in love!

    Hongera sana ila mkumbuke Mungu daima ili shetani asipate nafasi.
  9. F

    Heart broken again

    Pole sana, Mungu atakupa hitaji la moyo wako na mpenzi wa kweli.
  10. F

    Nioe mke mwingine?

    Pole sana kakangu, huyo ameshapoteza mapenzi na wewe kwa hayo mafanikio ambayo wewe ndo sababu. Jaribu kukaa naye chini na kumwelekeza na ikiwezekana mkumbushe mlikotoka. Ikishindikana hapo naona mambo ni magumu.
  11. F

    Siku 30 Nzito za Maisha Yangu. ooh, Glory to God!!!

    All the best mpendwa. Mungu akujalie hitaji la moyo wako litimie.
  12. F

    Msiba

    Pole sana ndugu yetu. Mingu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
  13. F

    Eti kama mvua

    Sidhani kama kumwacha ilikuwa ni busara. Naona wangejaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo badala ya kulikimbia. Ukisikia kupendana katika shida na raha ndo huko. Sijui kama ni ugonjwa au la ila ni vizuri angeenda hospitali wataalam wangeweza kujua tatizo nini na kumpa ufumbuzi.
  14. F

    Kuna ukweli juu ya hili?

    I don't think so, labda ufanye ka-research kadogo.
  15. F

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    RIP babu yetu
Back
Top Bottom