bei ya mbuzi . . .
Kila la kheri dada, haya vijana kazi kwenu ila msiwe wachafuzi:coffee:!!!
Hongera sana katika hilo;ila mimi bado sijapata ninaendelea kutafuta.Wapendwa wana JF kama nilivyojitokeza kutafuta mchumba, sasa napenda kuwapa taarifa kuwa mchumba nimemshapata humu humu. Nawashukuru sana.
Hongera sana. Usisahau kutualika siku ya harusi tafadhali!Wapendwa wana JF kama nilivyojitokeza kutafuta mchumba, sasa napenda kuwapa taarifa kuwa mchumba nimemshapata humu humu. Nawashukuru sana.
<br />Wapendwa wana JF kama nilivyojitokeza kutafuta mchumba, sasa napenda kuwapa taarifa kuwa mchumba nimemshapata humu humu. Nawashukuru sana.
Hongera sana shemegi,Wapendwa wana JF kama nilivyojitokeza kutafuta mchumba, sasa napenda kuwapa taarifa kuwa mchumba nimemshapata humu humu. Nawashukuru sana.
Nadhani mimi siwezi kukufaa, maana nina miaka 45 na mwezi mmoja. Bahati mbaya sana!!Najitokeza mbele yenu kutafuta rafiki atakayekuwa mchumba na hatimaye mume wangu. Awe mcha Mungu na mwenye upendo wa kweli. Pia anayejituma katika kutafuta maisha. Umri kuanzaia miaka 35 - 45, dini yake mkristo. Aliye serious na hilo tuwasiliane.
tusikate tamaa mkuu kuna siku tutafanikiwahongera sana katika hilo;ila mimi bado sijapata ninaendelea kutafuta.