Recent content by Fatmas

  1. F

    What does this picture say about Us the People?

    Tusitafute wa kumlaumu jamani!! makosa ni yetu wenyewe tunaoishi katika maeneo haya. Its about time we wake up and clean after ourselves.
  2. F

    Msaada kuhusu: Tufundishane Ujasiriamali

    Ahsanteni sana muliochangia. Mungu awabariki. Ni kweli "Kila mtu anaweza kufanya chochote anachotaka kama ataamini anaweza."
  3. F

    Tufundishane Ujasiriamali

    Ahsante kwa ushauri cheusimangala nishaandika.
  4. F

    Msaada kuhusu: Tufundishane Ujasiriamali

    Jamani naomba contact za mjasirimali mwenye pizza store au bakery naomba kusoma kutoka kwake. Pia naomba fundi wa umeme atakaenisaidia kuconvert mashine zinazotumia umeme wa Marekani ziweze kutumika Tanzania. Natanguliza shukrani
  5. F

    Tufundishane Ujasiriamali

    Salaam wakuu, Shukran kwa alieanzisha hii thread na wote waliochangia. MUBARIKIWE. Jamani naomba contact za mjasirimali mwenye pizza store au bakery naomba kusoma kutoka kwake. Pia naomba fundi wa umeme atakaenisaidia kuconvert mashine zinazotumia umeme wa Marekani ziweze kutumika Tanzania...
  6. F

    TTCL na huduma za internet mbovu!

    Jamani naomba kuuliza, ni kampuni gani inayotoa huduma ya internet ambayo itakuwa reliable 24 hrs. Kwani hizi internet cafe zinatumia mtandao gani? Maana nami nimejaribu hiyo Zantel daa kijasho kimenitoka.
  7. F

    ...akililia wembe mpe...!

    Kusudi haiambiwi Pole!!!
  8. F

    Wanawake bongo na time......

    Hahaaaaaaaa hii ni comedy
  9. F

    Genge la wahalifu wa kusafirisha binadamu laibuka Zanzibar

    Na Salma Said,Zanzibar GENGE la kihalifu linalodaiwa kusafirisha vijana kutoka Tanzania na kuwapeleka Israel kwa ahadi ya kuwapatia kazi na maisha bora, lakini badala yake kuwatumikisha kwenye shughuli mbalimbali na kuwatelekeza, limeibuka visiwani hapa. Tayari vijana watano wa Zanzibar...
  10. F

    Indian held over grisly murder of Dar businessman

    This is very sad. May Allah (swt) be with the deceased family InshaAllah.
  11. F

    Natafuta kazi

    Jaribu pia united nations Mama, iliwahi kuwekwa humu ukumbini si muda mrefu sana uliopita jinsi ya kuomba kazi UN. siku hizi enviroment issues zina market zaidi nchi zilizoendela. Good luck and all the best
  12. F

    Msaada: Jinsi ya kutengeneza scramble eggs

    It's Just Food! | Recipes | Episode 1 | Eggs
  13. F

    Natafuta nyumba

    Jaribu kuwasiliana na huyu dada AmaL HousE
  14. F

    Wanawake huwa wanapenda/kuhitaji nini?

    Men tend to think that everything that is important to them should be important to their female partners as well, while women are inclined to sacrifice what they want to please the people close to them give and take Each of us has habits and behaviours that get on the nerves of the people...
  15. F

    Nafasi za kazi September

    Ahsante Morani75
Back
Top Bottom