Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu Fatma ningependa nikupe mwanga kidogo kuhusu ujasiriamali, ni kwamba kwanza ilipaswa utambuwe kuwa hakuna njia ya mkato katika biashara ya aina yoyote ile.( kutokana na maelezo yako una mawazo ya kuleta mitambo toka Marekani na kisha kupata mtaalamu akufunze kuandaa pizza, tayari unaanza Mkahawa wako) Haiko rahisi kihivo na kwa mfano hai ni sawa na kijana anayetaka kuingiza gari highway kabla ya kulijua gari lenyewe linaendeshwaje? gea ndio ipi?, accelerator, breki, indiketa nk. Umenielewa?Jamani naomba contact za mjasirimali mwenye pizza store au bakery naomba kusoma kutoka kwake.
Pia naomba fundi wa umeme atakaenisaidia kuconvert mashine zinazotumia umeme wa Marekani ziweze kutumika Tanzania.
Natanguliza shukrani