Kazi ipo njoo na stakabadhi ulizonunulia cheti cha taaluma yako
Kuajiliwa jua ni utumwa utalipwa mil 2 lakini utafanyishwa kazi za watu 10 utachoka.....mimi binafsi sifikirii kuajiliwa maana nataka niwe tajiri najua nikiajiliwa sitakuwa tajiri
This must be a BIG joke!!!! Did you buy yours? How much did it cost you! Shauri mtu na wala usilete utani!
Natafuta kazi popote pale duniani.
Nina ujuzi kwenye fani za Information management systems or environmental analyst.
Natanguliza shukrani kwa yeyote atakayekuwa na information ya katika moja ya fani hizi.