Recent content by fasols

  1. fasols

    Ufaulu wa darasa la nne, kidato cha pili na nne umepaishwa ili kuwafurahisha wapiga kura; ushahidi huu hapa

    Ni kweli kabisa NECTA hata mwaka huu matokeo wameyachakachua sana,elimu imekua biashara-watoto wengi wanapewa ufaulu wa qualification ya D nne ili wakawe masoko kwenye vyuo vya certificates hilo limejitokeza sana mwaka, Elimu imekua siasa NECTA imeleta siasa kwenye elimu kiasi ambacho hata...
  2. fasols

    Kitakachommaliza Mama ni Uzanzibari tu na sio kingine. Hizi kelele zote ni geresha tu, tatizo ni Uzanzibari

    Mzungu alitoka miles away kuja kutawala africa,akaiba mali zetu akaenda zake,ukienda Kenya taasisi ya umma kama Kenya airways bandari MaCeos ni Wazungu wa mabara ya mbali, Kwanini iwe shida kwa mama,tunachotaka sisi ni maendeleo,barabara zijengwe,mishahara mizuri,afya,elimu bora,usalama,haki za...
  3. fasols

    Job Ndugai kuvuliwa Uspika wa Bunge?

    Ndugai hakumaanisha serikali isikope, alikua anatolea ufafanuzi kwanini tozo zilikubaliwa bungeni,na kwa jinsi ilivyo bila tozo na mikopo unadhani hali ingekuaje. Tozo zinapunguza ukali wa mikopo,bila tozo kila kitu kingekua kinafanyika kwa mikopo
  4. fasols

    Simba inavyozama sasa una chochote cha kuwashauri?

    Yani uwe tu anacomment kwenye mada sio kuanzisha mada,huja hoja,low reasoning,
  5. fasols

    Azam Media na TFF mnahujumu soka letu

    Kabisa mkuu,zamani ilikua unatoka moro unafika saa 10 unacheck game saa 12 jioni unageuza vizuri na abood lakin siku hizi haiwezikani, Wale wa kazi wa dar wa pembezoni muda umekua sio rafiki kabisa sababu ya umbali. Azam wanahujumu sana mpira
  6. fasols

    Yaani mzee ame dead kama masihara, wanawake makatili!

    Hivi huko mbele huyo binti akiwa mtoa tigo atajisikiaje,wkt aliua kwa kukataa kutoa tigo
  7. fasols

    Jirani msumbufu, akilewa huwa na kelele na kuanzia saa nane usiku anapiga mziki kwa sauti

    Na yeye mchana akilala fungulia mziki hadi ashindwe kulala,njoo uazime kwangu kama una mziki mdogo
  8. fasols

    Mwaka sasa unaisha lakini Serikali haijamalizia hata mradi mkubwa mmoja

    Mama anatafuta wimbo wake mwenyewe ili 2025 auimbe,ila kuna miradi isipokamilika italiingizia taifa hasara kubwa
  9. fasols

    Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

    Ccm ccm hii nchi ya kwetu sote jaman
  10. fasols

    Kwanini Dar kuna shida ya maji wakati bahari ipo hapo hapo?

    Poleni watu wa Dar,karibuni Njombeling mje mteke maji
  11. fasols

    Vibonge tambueni kuna tofauti ya kula chakula kingi na kula kula ovyo

    Sawa maisha yetu magumu,tunakula kujifariji lakini bado hampendi,tufanyaje sasa,tusile tukonde tufe au tule tule tuishi.
  12. fasols

    Bado nalia na Sheria ya Bodi ya Mikopo ya 2016

    BODI WEZI KAMA WEZI WENGINE HAINA TOFAUTI NA ZILE MICROFINANCES ZA MITAANI
  13. fasols

    Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

    Ebu tuachane na makabila tuangie na mtu mmoja mmoja kwanza,then tupeane mrejesho je hii ni kweli?
  14. fasols

    Simba ifanyeje kuwauaa FC PLATINUM

    Simba waruke sarakasi,wacheze judo uwanjani lakini this game hawataoboi,wasubiri play off
  15. fasols

    Simba SC mikononi mwa UD Songo

    Ni kweli kabisa Simba hii mechi haitoboi,so sad nadhan baada ya hapa,simba watajitathimini vizuri
Back
Top Bottom