Ni kweli kabisa NECTA hata mwaka huu matokeo wameyachakachua sana,elimu imekua biashara-watoto wengi wanapewa ufaulu wa qualification ya D nne ili wakawe masoko kwenye vyuo vya certificates hilo limejitokeza sana mwaka,
Elimu imekua siasa NECTA imeleta siasa kwenye elimu kiasi ambacho hata...
Mzungu alitoka miles away kuja kutawala africa,akaiba mali zetu akaenda zake,ukienda Kenya taasisi ya umma kama Kenya airways bandari MaCeos ni Wazungu wa mabara ya mbali, Kwanini iwe shida kwa mama,tunachotaka sisi ni maendeleo,barabara zijengwe,mishahara mizuri,afya,elimu bora,usalama,haki za...
Ndugai hakumaanisha serikali isikope, alikua anatolea ufafanuzi kwanini tozo zilikubaliwa bungeni,na kwa jinsi ilivyo bila tozo na mikopo unadhani hali ingekuaje.
Tozo zinapunguza ukali wa mikopo,bila tozo kila kitu kingekua kinafanyika kwa mikopo
Kabisa mkuu,zamani ilikua unatoka moro unafika saa 10 unacheck game saa 12 jioni unageuza vizuri na abood lakin siku hizi haiwezikani,
Wale wa kazi wa dar wa pembezoni muda umekua sio rafiki kabisa sababu ya umbali. Azam wanahujumu sana mpira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.