Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 6,361
- 11,348
Halikuwa na shida na bidhaa fulani
Mkuu, ww ndo unapenda? Na unaona kama a nataka kuku friendzone?By that time niliamua kuondoka kimya kimya
Duuh gubu kiongoz yaan situation hata ingekukuta wew lazma ungechukia namna mtu alivyoi direct kweny maongez yakeItoshe kusema mdogo wetu una GUBU.
Sijaona sababu ya msingi iliyopelekea wewe kumtafuta na kumwambia maneno kama hayo, ili hali hakukulazimisha bali ulifanya kwa kupenda kabisa.
Sababu uliyotoa ni ya kawaida sana.Duuh gubu kiongoz yaan situation hata ingekukuta wew lazma ungechukia namna mtu alivyoi direct kweny maongez yake
Nope kukaa kimya ni jibu ila Kwa Sasa huwa sipendelei namwambia ukwel Kisha naendelea na maisha yanguSababu uliyotoa ni ya kawaida sana.
Kama ungeamua kukaa kimya tu, pengine yeye ndiye ungemuacha na maswali, na angelazimika hata kukutafuta kukuomba radhi kwa kuhisi labda amekukosea.
Swali la kujiuliza, kulikuwa na ulazima gani?Nope kukaa kimya ni jibu ila Kwa Sasa huwa sipendelei namwambia ukwel Kisha naendelea na maisha yangu
mdogo wetu kazinguaItoshe kusema mdogo wetu una GUBU.
Sijaona sababu ya msingi iliyopelekea wewe kumtafuta na kumwambia maneno kama hayo, ili hali hakukulazimisha bali ulifanya kwa kupenda kabisa.
Si ndo vyenyewe ausio!!!?