Mi ndo mana hata Uzi wake sijausoma nikaja tu kwenye comments baadae narudi kusoma Uzi wake nakuja tambua ni tapeli, harudi tena uyo. Hana hata aibu a/c ya shule iwe na jina la mtu binafsi!!!
Hiyo kitu usirudie tena, waganga wa dawa za kuongeza nguvu za kiume wanaongezeka kila kukicha sababu kuu ni NYETO bro, usijegeuka mteja wao kwa kujitakia na utapigwa pesa nyingi hiyo buku ulonunulia sabuni itakuwa mara buku tena na hautapona, mwishowe utabaki kunywa maji mengi na kujichubua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.