Recent content by Fan J

  1. Fan J

    Matokeo ya Kidato cha 6: Nitajie shule/namba nikupe majibu.

    Moshi tech Post sent using JamiiForums mobile app
  2. Fan J

    Jinsi ya kujua mtoto ni wako au la kwa kutumia DNA ya kimila

    Kwa maelezo ya huu uzi hajazungumzia prints mkuu
  3. Fan J

    Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

    Hakuna HIV carrier labda ungesema HIV infected. Huwezi kumjua kwa kuangalia kwa macho, ni kupima tu. Be careful
  4. Fan J

    Kama unahitaji Bidhaa mpya na Used

    Unapatikana wapi? TV used, flat hata chogo
  5. Fan J

    Anayefahamu chuo cha Bombo Tanga.

    Clinical medicine bombo hakuna, kwa kuongezea kuna Eckernforde nao wanatoa Clinical medicine
  6. Fan J

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Watu hawamuogopi mungu siku izi, dah!
  7. Fan J

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Kweli mkuu, tutazoea lakini
  8. Fan J

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Anavyoongea utasema ni muasi aliyebahatika kupindua nchi, kazi ipo awamu hii aisee.
  9. Fan J

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Mi ndo mana hata Uzi wake sijausoma nikaja tu kwenye comments baadae narudi kusoma Uzi wake nakuja tambua ni tapeli, harudi tena uyo. Hana hata aibu a/c ya shule iwe na jina la mtu binafsi!!!
  10. Fan J

    Nataka sana kuoa

    Tafuta madalali wakusaidie
  11. Fan J

    Leo ndio nimejaribu punyeto, kumbe ni tamu kuliko mwanamke

    Hiyo kitu usirudie tena, waganga wa dawa za kuongeza nguvu za kiume wanaongezeka kila kukicha sababu kuu ni NYETO bro, usijegeuka mteja wao kwa kujitakia na utapigwa pesa nyingi hiyo buku ulonunulia sabuni itakuwa mara buku tena na hautapona, mwishowe utabaki kunywa maji mengi na kujichubua...
Back
Top Bottom