chimwemwe msumba
Member
- Dec 25, 2016
- 27
- 39
- Thread starter
- #21
Akaunti ya shule ndo ina jina la Alex m. mwasile
Pole na nimeguswa sana lakiniAkaunti ya shule ndo ina jina la Alex m. mwasile
Haiwezekani kumpeleka shule ya serikali kama amefika kidato cha 3 private?Wakuu habari, naombeni msaada kwa atakaeguswa ni mama ninae msomesha binti yangu sekondar ya private baada ya kutochaguliwa ktk shule za kata anaingia kidato cha 3 pamoja na kutochaguliwa lakin yupo vizuri kimasomo na anapenda sana shule. Msaada naoomba kwenu wanajamvi yeyote atakae guswa naomba nikopeshwe fedha laki 700,000 au 600,000 ili mwanangu aweze kwenda shule tar 9 January nimekwama kabisa kiasi nimemwambia binti kwamba aishie kidato cha 2 kwani ***** mwaka huu nimekwama kwani sijapata kibarua nipo nahangaika kutafuta kitu ambacho kimefanya mwanangu ashinde analia kula anakataa siku 2 sawa hofu inaingia anaweza haya kujizuru, naomba msaada ndugu zangun ningeshukuru kama ningepata hela isiyo na riba na kulipa itakuwa mwezi mei mwishoni kwani kama sitapata kibarua mjini Moro nitasogea mashamban nikalime wakati yeye akiwa bweni nikifanikiwa kupata hela, nakaribisha hata ushauri maana akili yangu naona kama imegota inbox kwa kunifahamu zaidi, asanteni.
Ada jumla ni kiasi gani kwa mwaka na muhula huu wa kwanza inatakiwa alipe kiasi gani?Asante Emilias G shule anayoenda kusoma inatwa paducah hill side high schools, akaunti crdb 0IJ2075662300 yeye jina Alex m. Mwasile tawi lolote nchini.
utapeli at work..
Jina la akaunti ya shule linathibitisha hilo na picha ni ya msichana linakuja jina la Alex kivip?wacha tuisome namba wote tu
Kwa aina ya uandishibwako wewe si mama ni mwanaume !Wakuu habari, naombeni msaada kwa atakaeguswa ni mama ninae msomesha binti yangu sekondar ya private baada ya kutochaguliwa ktk shule za kata anaingia kidato cha 3 pamoja na kutochaguliwa lakin yupo vizuri kimasomo na anapenda sana shule. Msaada naoomba kwenu wanajamvi yeyote atakae guswa naomba nikopeshwe fedha laki 700,000 au 600,000 ili mwanangu aweze kwenda shule tar 9 January nimekwama kabisa kiasi nimemwambia binti kwamba aishie kidato cha 2 kwani ***** mwaka huu nimekwama kwani sijapata kibarua nipo nahangaika kutafuta kitu ambacho kimefanya mwanangu ashinde analia kula anakataa siku 2 sawa hofu inaingia anaweza haya kujizuru, naomba msaada ndugu zangun ningeshukuru kama ningepata hela isiyo na riba na kulipa itakuwa mwezi mei mwishoni kwani kama sitapata kibarua mjini Moro nitasogea mashamban nikalime wakati yeye akiwa bweni nikifanikiwa kupata hela, nakaribisha hata ushauri maana akili yangu naona kama imegota inbox kwa kunifahamu zaidi, asanteni.
Mama yangu wewe toa tu maelezo ya kutosha utasaidiwa humu, akaunti ya shule iwe na jina binafsi mmmh inatia wasi wasi lakini!! Halafu hii shule si ipo maeneo ya mkundi Morogoro au sio hii?? kama ni hii pale si huwa wanachukua form 5 $ 6 tu au??? Samahan kama ntakua nimekukwaza ila tunahitaji tujiridhishe ndiyo tutoe msaada matapel wengi siku hizi.Akaunti ya shule ndo ina jina la Alex m. mwasile
mkuu hawa ndo wale wanaomiliki nyoka kama yule wa Songea halafu wakipigwa wanatapatapa na kutoa mikojoMaelezo yake hana ukakasi sana
KweliJARIBU KUNYOOSHA MAELEZO YAKO.TUPE PIA NO.YA MKUU WA SHULE,TUTAJUA JINSI YA KUTAFUTA UTHIBITISHO KAMA KWELI KUNA MTOTO MWENYE HILO JINA HAPO SHULENI KWAKO
.TUPE PIA NO.YAKO YA SIMU.
Hiyo ni account ya shulePicha inaonesha mtoto ni wa kike... Alafu jina anaitwa Alex m. Mwasile? Huyo mtoto ni mJapana au?
Tuseme labda hiyo account ni ya kwako... wewe ni mme au mmke? Sijakuelewa?
Leo ndo naona akaunti ya shule ina jina binafsi badala ya jina la shule.Itakuwa shule ya kwanza nchini kuwa na utaratbu huoHiyo ni account ya shule