Recent content by FAM ALLY

  1. FAM ALLY

    Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

    Tembea na double kick, wakianza maswali itoe..., kata kidogo alafu muulize unasemaje?
  2. FAM ALLY

    Naomba kuuliza wataalam wa haya mambo

    Hahaha wazee wa kwenye kahawa kwa ujanjaa uliwanunulia vikombe vingapi baada ya kuambiwa umeaga vizuri kwenu?
  3. FAM ALLY

    How does a guy know if he is handsome

    Hahahaha umeongea ukweli.
  4. FAM ALLY

    Mama Ntilie wa Dar punguzeni mchinjo

    Tatizo hushushiagi na kandoro
  5. FAM ALLY

    Ipe neno moja hiyo picha ya leo asubuhi

    Teh teh teh teh!
  6. FAM ALLY

    Nani anaweza akaniambia huyu ni mnyama gani..?

    Yani watu hawamjui Simba duuh!! huyo Simba huyo.
  7. FAM ALLY

    Nimekumis mnato.

    Mnato anapatikana kwenye mageti ya kishua Sent using Jamii Forums mobile app
  8. FAM ALLY

    Hivi unajuaga vipi kama umeanza kulewa ukiwa unakunywa pombe??

    Hahahaha Nikiona nimeanza kusoma maelezo ya bia zangu tu najua ngomaa hyoo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. FAM ALLY

    Jana usiku nimeshuhudia UFO nikirudi Ghetto nimeshikwa na uwoga

    Nasubiri uamke nijue ulikua unaota au ni kweli umeona Sent using Jamii Forums mobile app
  10. FAM ALLY

    Umewahi kusafiri masaa mangapi na ndege

    Nahisi yatakua masaa15 mana nina mpango wa kusafiri kutoka kigoma hadi hukoo Nchi za mbali mbali hukoo..kama Kenya hivi au Uganda. ..., nikipata hela lakini Sent using Jamii Forums mobile app
  11. FAM ALLY

    Hivi kuweka chakula kama status WhatsApp ni Ushamba au Ujanja?

    Chukua app ya zamani hyo huoni status ya mtu yeyote. ukishindwa tumia Nokia ya tochi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. FAM ALLY

    Tukio gani la ajabu limewahi kukukumba mbele za watu

    Sasa mi nakupa mbinu, siku nyingne unamkimbia dem alafu siku ya saba au nane yake unaenda kwao unamuuliza vip walikuumiza...!? Akikuuliza mbna ulikimbia ..!? Mwambie uliona "heri lawama kuliko fedheha".
  13. FAM ALLY

    Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

    Au unaonaje wangepunguza idadi ya muda wa kustaafu ili muustafu baada ya miaka mitano ili kupisha ajira mpya.
  14. FAM ALLY

    Msaada Dawa ya kuzuia kujampa

    Hahaha mkuu.... ulivuna gunia ngap za kunde Na mkeo mwaka jana!!?
  15. FAM ALLY

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Huyu ni kwa matumizi ya kijua cha saa kumi jioni[emoji39][emoji39] mtoto ameungwa akaungika [emoji847][emoji847][emoji39]
Back
Top Bottom