kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Jamani nyie mama ntilie wa Dar hebu kuweni na huruma kidogo, kiukweli mnaweka msosi kidogo sana mpaka kwa wateja wenu, binafsi toka nije Dar sijawahi kushiba.
Hebu waigeni mama ntilie wenzenu wa Mwanza aisee, kule wanaweka msosi mtu unakula mpaka unahisi umelitendea tumbo lako haki.
Hebu waigeni mama ntilie wenzenu wa Mwanza aisee, kule wanaweka msosi mtu unakula mpaka unahisi umelitendea tumbo lako haki.