mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
kha hiyo ilikuwa kufa mtuSydney-Bangkok-Addis Ababa-Accra niliamua kuwa mpole tu, maana masaa 24 unaning'inia angani tu
kha hiyo ilikuwa kufa mtuSydney-Bangkok-Addis Ababa-Accra niliamua kuwa mpole tu, maana masaa 24 unaning'inia angani tu
Nchi naikubali sana hiyo!ipo siku nitafika, Inshallah!Nilisafiri Kwa saa 12 kutoka Johannesburg South Africa hadi Sydney Australia. Hakika ilikuwa amazing kwani tuliondoka saa 4 usiku na kuwasili saa 12 jioni kwa za Australia!
Asee,nipe story za huko Wellington,huwa naota tuDar-Doha-Singapore- Sydney- New Zealand..Dah masaa kama yote
Mbona route iko sawa tu Mkuu? Hakuna mji wa ulaya hapo, ni AFRIKA-ASIA-Australia😂😂😂 Ndege hiyo balaa inakutoa Africa inakupeleka Asia kisha inakupeleka ulaya kisha Australia duh! kwenye mabasi kuna kamsemo chetu cha kufaulishwa na kwenye ndege kapo?😂😂😂
Ha ha ha sasa kwanini umetaja US si ungekaa kimya?
Abu Dhabi to Sydney, Australia na Emirates 14 hrs
Ulirudi nyuma mwaka mzima, na uko angani. Mlikuwa mkiongezewa mafuta juu kwa juu nini?
Most likely. Haya mashirika ya Middle East. Bado kuna QATAR
Confusion ya Emirares, Etihad na Qatar. Zamani zile kulikuwa Gulf.
Dar,Amsterdam,New York,Houston Texas makalio yote yanakufa ganzi,ingine Bongo,Bole Ethiopia,Bangkok,Ghuanzou ,ukifika masaa yanakuchanganya,hujui umeondoka lini,Marekani majimbo mengi yana muda wake,wakati wa majira kama haya saa kumi jioni tayari usiku na wakati wa kiangazi saa mbili usiku bado jioni na jua juu.Ama kweli tembea uone na ujifunze,