Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

Muswada: Ukimaliza chuo ukae miaka mitano ndio uajiriwe

Hiyo mikopo ndani ya bodi itapatikanaje kama wadaiwa itawawia miaka 5 kuanza irudisha?

Mbona Kenya wanao huu utaratibu mdarefu,na ndio Nchi inatishia kwa wasomi east Africa.. Na wanaendelea Sana, tatizo watanzania mnapenda short cut.
 
jaribu kuizibiti chuki yako kabla haijayahitaji maisha yako yani unafikiri kila kitu kazima serikali itunge sheria ya kukikontrol usipoangalia utasema na wanaokula bata wachunguzwe kama wana viwanda nyumbani vya kuprint hela

Hapa sio issue ya chuki, tatizo haujafikiria logical, Umechukualia kama story za mtaani.

Mbona Kenya wanao huu utaratibu mdarefu,na ndio Nchi inatishia kwa wasomi east Africa.. Na wanaendelea Sana, tatizo watanzania mnapenda short cut
 
Hapo vip!!
Kwanini Nchi yetu isipitishe sheria ya kufanya wahitimu wa vyuo vikuu waajiriwe baada ya kukaa miaka mitano mtaani.

Serikali Kwa nini isiandaye utaratibu mtu akimaliza chuo kikuu afanye internship katika taasisi za serikali na binafsi Kwa muda wa miaka mitano then Baada ya hapo ndio hawe full qualified kupewe ajira popote.

Hii itasaidia kuleta equity and fair kwenye soko la ajira, kwasbabu sasa hivi kunawatu akimaliza chuo akai hata mwezi mtaani anapata kazi kutokana na connection fulani, fulani then anamuacha mtu aliyekaa mtaani muda mrefu.

Pia itasaidia mtu apate experience wanayoitaji sehemu za kazi.

Pia itasaidia waajiriwa wawe competent katika maeneo ya kazi.

Nawasilisha hoja.
Big No
 
Hapa sio issue ya chuki, tatizo haujafikiria logical, Umechukualia kama story za mtaani.

Mbona Kenya wanao huu utaratibu mdarefu,na ndio Nchi inatishia kwa wasomi east Africa.. Na wanaendelea Sana, tatizo watanzania mnapenda short cut
basi hamia kenya kwa sababu wao hata changaa na mirungi ni ruksa
 
Au unaonaje wangepunguza idadi ya muda wa kustaafu ili muustafu baada ya miaka mitano ili kupisha ajira mpya.
 
Unafananisha Kenya na Tanzania?

Mifumo na utendaji kuhusu urejeshaji mikopo na ukopaji ipo sawa? Rejea point yangu vizuri.
Mbona Kenya wanao huu utaratibu mdarefu,na ndio Nchi inatishia kwa wasomi east Africa.. Na wanaendelea Sana, tatizo watanzania mnapenda short cut.
 
Hapo vip!!
Kwanini Nchi yetu isipitishe sheria ya kufanya wahitimu wa vyuo vikuu waajiriwe baada ya kukaa miaka mitano mtaani.

Serikali Kwa nini isiandaye utaratibu mtu akimaliza chuo kikuu afanye internship katika taasisi za serikali na binafsi Kwa muda wa miaka mitano then Baada ya hapo ndio hawe full qualified kupewe ajira popote.

Hii itasaidia kuleta equity and fair kwenye soko la ajira, kwasbabu sasa hivi kunawatu akimaliza chuo akai hata mwezi mtaani anapata kazi kutokana na connection fulani, fulani then anamuacha mtu aliyekaa mtaani muda mrefu.

Pia itasaidia mtu apate experience wanayoitaji sehemu za kazi.

Pia itasaidia waajiriwa wawe competent katika maeneo ya kazi.

Nawasilisha hoja.
Hawe-awe
 
Hapo vip!!
Kwanini Nchi yetu isipitishe sheria ya kufanya wahitimu wa vyuo vikuu waajiriwe baada ya kukaa miaka mitano mtaani.

Serikali Kwa nini isiandaye utaratibu mtu akimaliza chuo kikuu afanye internship katika taasisi za serikali na binafsi Kwa muda wa miaka mitano then Baada ya hapo ndio hawe full qualified kupewe ajira popote.

Hii itasaidia kuleta equity and fair kwenye soko la ajira, kwasbabu sasa hivi kunawatu akimaliza chuo akai hata mwezi mtaani anapata kazi kutokana na connection fulani, fulani then anamuacha mtu aliyekaa mtaani muda mrefu.

Pia itasaidia mtu apate experience wanayoitaji sehemu za kazi.

Pia itasaidia waajiriwa wawe competent katika maeneo ya kazi.

Nawasilisha hoja.
Akai hata mwezi- hakai hata mwezi
 
miaka mitano!, tafakari upya, si kila kazi ni ya kisias. umri, malengo, mahitaji na aina ya taaluma haviwezi kukubaliana na wazo lako
 
wakati mwingine huu wimbo wa ajira unatia hasira sana, kwani ajira imekuwa mbingu? hivi ni lazima kila msomi wa chuo aajiriwe?
ifikie hatua watu tuache kuwaza kuajiriwa, yaani ifanyike namna ya kumfanya kila mwanachuo awaze namna ya kujiajiri akimaliza chuo.
watu huwa wanalia lia mtaji wakati walipokuwa chuo waliishi maisha ya gharama, starehe, wanawaza kupendeza badala ya kuweka akiba au kuwekeza.
Baada ya kumaliza chuo wakipigika mtaani ndio wanaaza kujutia hela walizokuwa wanahonga na kunywea pombe.
uko sawa mkuu...
Ila kwenye starehe nakupinga, hivi hela ya bumu unafanyiaje starehe? Hivi ile hela unaweza kula kias gani kwa siku na ukazave kiasi gani??
 
Back
Top Bottom