Msaada Dawa ya kuzuia kujampa

Msaada Dawa ya kuzuia kujampa

Hahaha mkuu.... ulivuna gunia ngap za kunde Na mkeo mwaka jana!!?
 
Nakushauri kampime minyoo.
Huenda akawa na minyoo iliyodumu kwa mda mrefu
Achana na ushauri sjui wa vitunguu ni kupoteza pesa na muda bure
 
Watu wengine mnakuwa wajinga yaani huna vidole? si unaziba au lete tukuzibie atakuwa na slow puncher
 
Huo utakuwa ugonnjwa ndugu, mpeleke hospitali. Lkn kwa kuanzia awe anakula vitunguu swaumu vilivyochanganywa na asali. Menye vitungu swaumu vingi, weka kwenye chombo chenye mfuniko wa kufunga kisha jaza asali. Awe anakula vipunje vitatu na vijiko vidogo vya asali vitatu asubuhi kabla ya kula kitu chochote. Na asubiri nusu saa hadi saa nzima kabla ya kula kitu. Baada ya mwezi mmoja utaona matokeo. Na anaweza kuendelea kutumia hivyo kwa muda mrefu zaidi.

Vitungu swaumu vikae kwenye asali kwa siku angalau 5 kabla hajaanza kutumia, hii inasaidia kupunguza ukali na harifu ya kitunguu.
Msituchoshe na maswala ya Vitunguu Saumu....kila tatizo likitoka jibu ni hilo tu la Vitunguu saumu....MNACHOSHA BANA
 
Fanya uchunguzi isije ikawa kuna.mdau anapita emergency door
 
Back
Top Bottom