Nikusingizie ili nipate nini kaka. kwann hutaki kujikubali na hali yako? jikubali kwanza then taratibu ukila vizuri, mazoezi ya kutosha na kumuomba mungu.. unaweza pata hizo nguvu za kiume na kuweza ksimamisha huo uume na huyo demu atakurudia tu.
ID UMEBADILI LAKINI NNIMEKUJUA. Kwani lile tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume umepona? Maana ulikuja kuomba msaada wa dawa hapa jamii F... Ulisema huwezi fanya mapenzi kwavile huwezi simamisha umme. pole sana. naona demu wako kashindwa kukuvumilia kaamua kukuacha hawezi kuwa na mwanaume...
Nilishuhudia tukio kama hili.. inawezakana ulikuwa ni wewe labda. ilikuwa mtaa wa congo kariakoo. kijana aliye valia jeans mapana alikuwa anakuja kwambele yangu ghafla kuna jamaa akampiga kikumbo na kumpita kidogo nakuanza kulalamika jamaa nae akageuza shingo nyuma kujibu mapigo ya maneno. hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.